Habarini Ndugu zangu wa JF!
Naombeni msaada wa kujua gharama za kusafirisha mzingo usiozidi kg 2 kwa kutumia basi kutoka daresalam kwenda mikoani!
Kutoka Dsm kwenda Arusha, Kilimanjaro, Morogoro, Dodoma nk.
Utamjua Mungu kwa kiwango cha hali yako ya kiroho.
Hali yako ya kiroho imekuwezesha kufikia hatua hiyo ya kutaka kumjua Mungu zaidi, na hilo linathibitishwa na imani uliyonayo kuwa Mungu yupo japo unashindwa kumwelewa. Maswali yako kumi yana mantiki kabisa na majibu yake unayo.
Shida inakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.