Recent content by Manndasori

  1. Manndasori

    Kati ya uMagufuli na Samia ni upi umejaa wahuni zaidi? Tuorodheshe matukio ya kihuni

    Samia alirithi ile kesi kama ulikua unaifatilia kesi ilifunguliwa mwezi wa 8 2020 ndipo ikaanza kutafutiwa watuhumiwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  2. Manndasori

    Kati ya uMagufuli na Samia ni upi umejaa wahuni zaidi? Tuorodheshe matukio ya kihuni

    Hata nyie mlikua kunguni wa hayati na mlikua hamuambiliki, zamu yenu imepita acha machawa nao watambe mjini si ndio zenu huko chama twawala
  3. Manndasori

    Kati ya uMagufuli na Samia ni upi umejaa wahuni zaidi? Tuorodheshe matukio ya kihuni

    Hata wewe utakufa usitishie watu, swali ni hili: kwa nini mkiambiwa huyo bwana yenu alishakufa mnang'aka? Au hamkushuhudia mazishi baada ya maonyesho ya mzoga wiki nzima
  4. Manndasori

    Kati ya uMagufuli na Samia ni upi umejaa wahuni zaidi? Tuorodheshe matukio ya kihuni

    Mleta mada katoa facts na wewe toa za serikali ya ssh acha blaa blaa
  5. Manndasori

    Dunia hii ya sayansi na teknolojia Kiongozi wa chama form 4, katibu form 6 mtatoboa kweli? Wanachama si ndio itakuwa bora liende? Fanyeni mabadiliko

    Kwani hao wasomi wameisaidia nini nchi hii zaidi ya ujanjaujanja na kujipendekeza tu
  6. Manndasori

    Mkuu wa nchi yoyote anayeingilia majukumu ya Bunge kiasi cha kushawishi kiongozi wa Bunge ag'olewe, lazima ana nia ovu. Na haya ndio matokeo yake

    Huyu nyakurungu wala sio ccm ni mfuasi sugu wa marehem mzeebaba na mpaka leo hataki kukubali kwamba alishadanja
  7. Manndasori

    Mkuu wa nchi yoyote anayeingilia majukumu ya Bunge kiasi cha kushawishi kiongozi wa Bunge ag'olewe, lazima ana nia ovu. Na haya ndio matokeo yake

    Jiwe alikua anakopa kimyakimya mikopo yenye masharti magumu halafu anatudanganya ni hela yetu yeye hakopi
  8. Manndasori

    Hatari za kuchelewa kuoa

    Hivi ninyi watu mnajikuta kina nani kwa mfano? Yaani mtu akiwa na mawazo tofauti na ya kwako unamlinganisha na mnyama?? Mnapata wapi mamlaka ya kuwafanyia wengine maamuzi?
  9. Manndasori

    Hatari za kuchelewa kuoa

    Apunguze ujuaji maana hata nabii Yeremia Mungu alimnyima kuoa kutokana na hali zilizokuwepo
  10. Manndasori

    Hatari za kuchelewa kuoa

    Unawapangia watu maisha ukiwa kama nani
  11. Manndasori

    Hatari za kuchelewa kuoa

    Acha upumbvu kwa hiyo mtu asipoamini katika dini au vitabu unavyoviamini wewe ni paka?
  12. Manndasori

    Hatari za kuchelewa kuoa

    Mbona wewe unalazimisha watu waoe kwenye umri unaoutaka wewe
  13. Manndasori

    Hii imekaaje? Wachaga kuchukua nafasi 25 kati ya nafasi 40 zilizotangazwa na Taasisi kubwa ya Serikali

    Kwamba hatuwajui wahaya na kuuza miili au? Wakati ule ukimwi ukiwa tishio ni kabila gani lilipukutika kama kuku wenye kideri halafu mkiambiwa ukweli mnawatukania watu mama zao
Back
Top Bottom