Recent content by Mankumbi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Anayetaka kiwanja

    Kiwanja kinauzwa pugu mwakanga (karibu na steshen ya tazara-mwakanga, karibu na "kwa Pinda". kilomita 3.5 kutoka makutano ya barabara ya pugu na chanika ukubwa sqm 900 bei shilingi 15,000,000 eneo limepimwa, kina hati hakuna dalali serious buyer PM
  2. M

    JamiiForums Tanzania Maoni na ushauri katika kuweka plasta nyumba

    Nyumba iko boko Ukubwa - square meter 190 (4 bedrooms) Mafundi watatu wameniambia kupiga plasta ni milioni 3.5 ikipungua sana 3 Mchanga na smenti gharama ya kununua haizidi milion 1, sasa labour charge mara 3 ya vifaa is it fair kweli? Uwezo wa kulipa hiyo hela ninao ila nataka maoni yenu...
Back
Top Bottom