Recent content by mankachara

  1. mankachara

    Wanaifananisha Shogun na Game Of Thrones

    Good explanation. Actually daenary hakuchoma dhahabu zote. Mali nyengine zilikua zimeshafika kingslanding ndiyo maana cercie akapata pesa za kulipa madeni benki na kununua golden company. Madeni ambayo alikopa baba yao bada ya kukauka kwa machimbo kastaly rock. Lile jeshi ambalo bora samuel...
  2. mankachara

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Toa kiwior weka zinchenko na toa havertz weka jesus
  3. mankachara

    Nyie wachora ramani waongo sana

    Kuna rchitect, engineer na quantity surveyor. Anaefanya makisio ni quantity surveyor
  4. mankachara

    Sidhani kama kuna series kali kushinda Game of Thrones?

    NI kweli unayoyaongea kua hakuna series kali kama got tangu iumbwe dunia. Changamoto umaliziaji wake tu
  5. mankachara

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimetoa na imetoka. Ila nimeweka sikukusudia kabisa. Naona baada ya kuweka tu naambiwa nimewin 400
  6. mankachara

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Leo nimejikuta nimeshinda tu sporty sim kwenye spoertbet bila hata kujua maana yake. Kuna mtu anaweza kunielekeza?
  7. mankachara

    Series (Special thread)

    Ni series ya kitambo
  8. mankachara

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kuna mtu mwengine anapata tatizo la kutoa pesa betpawa au ni mimi peke angu?
  9. mankachara

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Actually nimechoka kusubiri. Tangu jumapili. Now siwachi tena hela kwenye betting. Naacha za kubetia tu.
Back
Top Bottom