Recent content by manka2

  1. M

    Msaada: Utaratibu wa kutembelea mbugani kwa wanafunzi ukoje?

    habari karibu kwenye hifadhi zetu piga hii number --- atakuelekeza kwa mhusika 0784989572
  2. M

    nahitaji mkopo wa haraka 2m

    gari mitsubishi pajero IQ
  3. M

    mkopo wa 2m unahitajika haraka

    bond ni kadi ya gari
  4. M

    mkopo wa 2m unahitajika haraka

    10-15% interest for a month...
  5. M

    nahitaji mkopo wa haraka 2m

    nitarudisha baada ya mwezi...nina dhamana ya kadi ya gari...
  6. M

    mkopo wa 2m unahitajika haraka

    wana Jf nahitaji mkopo wa haraka wa 2m nitarudisha na riba. kama kuna anayefahamu maeneo naweza pata nitashukuru . asante
  7. M

    nahitaji mkopo wa haraka 2m

    wana JF nahitaji mkopo wa haraka 2m nitalipa na riba. kama kuna mtu mwenye uzoefu au mwenye kujua wanapotoa kwa uharaka. Asante
  8. M

    naomba kufahamishwa - nauli mpya ya fastjet from TZ to south Africa

    worry not vinci I have a principle of not to talk or entertain strangers at the airport!!
  9. M

    naomba kufahamishwa - nauli mpya ya fastjet from TZ to south Africa

    usiwe na wasiwasi Innobwoy - nimesoma huko SA kwa muda mrefu na nikienda huko nii masuala ya kuattend conferences na research---so usiogope!!! ha ha ha ha!
  10. M

    naomba kufahamishwa - nauli mpya ya fastjet from TZ to south Africa

    Asante for the information. ngoja nijaribu kubook!!
  11. M

    Mfumo wa siasa nchini unadidimiza utoaji wa huduma muhimu - maji, umeme, afya na elimu

    wana jamii forum Ningependa maoni yenu ni mfumo gani wa siasa hapa Tanzania utaweza kutumika ambao ungeweza kujenga msingi mzuri wa utoaji wa huduma za muhimu kama maji, umeme, elimu na afya? kwa mfumo tulionao - democratic approach through decentralisation umechangia sana kuua huduma muhimu na...
  12. M

    Katiba mpya iangalie utaratibu mpya wa kuchagua viongozi

    Wana jamii forums Natoa angalizo kwa mchakato wa katiba mpya kuwa serikalii iangalie kama kuna uwezekanao wa kubadilisha mfumo wa kuchagua viongozi badala ya kupiga kura zoezi ambalo linatumia fedha nyingi sana ya walipa kodi labda tungeaza uaratibu wa "interview" kwa ngazi zote from udiwani to...
  13. M

    naomba kufahamishwa - nauli mpya ya fastjet from TZ to south Africa

    kwa wana jamii forums Naomba kwa anayefahamu nauli mpya kwa safari za fastjet from DSM to South Africa na kama kuna promotion of any kind. Asante
  14. M

    Serikali msisahau kuboresha hospitali zetu(vifaa, wataalam na dawa)- hali ni mbaya

    Ni juzijuzi tumefiwa na mfanyakazi mwenzetu kwa ajali ya gari na alipelekwa hospitali ya mkoa lakini ikashindikana akafariki. Tatizo kubwa katika hospitali zetu ni vifaa duni jambo ambalo limekuwa likipigiwa kelele na madaktari wetu kwa muda mrefu. Baada ya nyongeza ya mishahara kwa walimu...
Back
Top Bottom