Hello doc, asante kwa hii thread. Naomba msaada nina mtt wa miaka miwili anakohoa wiki na zaidi sasa. Alipewa dawa ya kifua naona haijasaidia. Akapewa na ya minyoo baada ya kupimwa na kukutwa nayo ila bado anakohoa huku anaumia. Tukamrudisha tena akapewa antibiotics na dawa ya kifua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.