Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

kwa hiyo hela mkuu nunua hisa za swissport kwa tsh 7510 au twiga cement kwa tsh 3820. kampuni yoyote ile ukiichagua kati ya hizo mbili hautojilaumu. kampuni ya bia au sigara hisa moja ni tsh ekfu 14 na kuendelea na kwa hela yako utapata hisa chache sana mkuu

asante mkuu
 
kwa hiyo hela mkuu nunua hisa za swissport kwa tsh 7510 au twiga cement kwa tsh 3820. kampuni yoyote ile ukiichagua kati ya hizo mbili hautojilaumu. kampuni ya bia au sigara hisa moja ni tsh ekfu 14 na kuendelea na kwa hela yako utapata hisa chache sana mkuu

Actually wingi au udogo wa hisa sio tatizo, cha muhimu ni future performance ya kampuni au dividends wanayogawa. Kwa mfano tuseme una 10,000 na kuna kampuni mbili A na B. Kampuni A hisa moja ni 10,000 na kampuni B hisa moja ni 1,000. Ukinunua hisa za A utapata hisa moja na ukinunua za B utapata 10.

Now kampuni A&B zikiperform sawa sokoni na hisa zikaongezeka thamani kwa 10% ongezeko katika investment yako itakuwa ni ile ile kama ulinunua hisa moja ya A au hisa 10 za B.

Kwa ushauri wangu kiasi unachotaka kuinvest ni kidogo sana kwa hisa, unless una mpango wa kununua zaidi kila unapopata na una malengo ya muda mrefu sana na hizo hisa 5-10 years.
 
Actually wingi au udogo wa hisa sio tatizo, cha muhimu ni future performance ya kampuni au dividends wanayogawa. Kwa mfano tuseme una 10,000 na kuna kampuni mbili A na B. Kampuni A hisa moja ni 10,000 na kampuni B hisa moja ni 1,000. Ukinunua hisa za A utapata hisa moja na ukinunua za B utapata 10.
Now kampuni A&B zikiperform sawa sokoni na hisa zikaongezeka thamani kwa 10% ongezeko katika investment yako itakuwa ni ile ile kama ulinunua hisa moja ya A au hisa 10 za B.

Kwa ushauri wangu kiasi unachotaka kuinvest ni kidogo sana kwa hisa, unless una mpango wa kununua zaidi kila unapopata na una malengo ya muda mrefu sana na hizo hisa 5-10 years.

ndio mkuu nimekupata vizuri,nina mpango wakuongeza kila ninapopata kwasabuba mimi bado mwanafunzi kwahiyo mtaji bado sio mkubwa kwa sasa
 
nunua za YETU Microfinanace, IPO ni TZS 500.00 per share.
baada ya muda si mrefu thamani itapanda sana asee.
hutajilaumu.
 
Hii kitu nimeipenda. Mimi ninaweza kununua za laki 6. Alie na maelekezo mazuri ya hii kitu aniPM jamani. Niko shule pia.
 
Vipi kuhusu hizi hisa za yetu microfinance zimetangazwa juzijuzi. Wanadai 2012 profit 500m mwaka unaofuata 1bn
 
Watu wengi wanatamani kununua hisa kupitia soko la Hisa la Dar es salaam ila bado hawafahamu ni jinsi gani wanaweza kununua hisa wakiwa mahali popote pale Tanzania. Soko la Hisa limetengeneza njia rahisi ambayo kila mtu anaweza kununua hisa akiwa sehemu yoyote ile Tanzania.


Unapohitaji kununua Hisa katika soko la Hisa unatakiwa kuwa na email, akaunti ya bank na kuwa na mawasiliano brocker yoyote Yule ambaye amesajiliwa katika soko la Hisa.




Hivi ndivyo unavyoweza kununua Hisa


Baada ya kufanya maamuzi ya kampuni gani ya kununua katika soko la Hisa. Unaweza kutamfuta brocker ambaye amesajiliwa na soko la Hisa kwa ajili ya kununua hisa zako.


1. Wasiliana Brocker kwa ajili ya kununua hisa


Wasiliana na brocker yoyote ambaye amesajiliwa katika soko la hisa. Baada ya kuwasiliana na brocker ataomba email yako kwa ajili ya kukutumia fomu za kujaza. Utaprint fomu hizo ambazo zitakuwa mbili; moja kwa ajili ya taarifa zako binafsi na nyingine kwa ajili ya ununuzi wa hisa.


Hii ni orodha ya Brockers waliosajiliwa na soko la Hisa


· CORE securities Ltd; Mawasiliano Tel: +255 22 212 3103 au info@coresecurities.co.tz


· Orbit Securities Co. Ltd; Mawasiliano Tel: +255 22 211 1758 au orbit@orbit.co.tz


· Rasilimali Ltd; Mawasiliano Tel: +255 22 211 1711 au rasilimali@africaonline.co.tz


· Tanzania Securities Ltd; Tel: +255 22 211 2807 au info@tanzaniasecurities.co.tz



· Vertex International Securities Ltd; Tel: +255 22 211 6382 au vertex@vertex.co.tz



· Solomon Stockbrokers Co. Ltd; Tel: +255 22 211 2874 au solomon@simbanet.net



· E.A. Capital Ltd P.O. Box 20650, Dar es Salaam au Tel +255 779740818/ +255 784461759 EC@EACAPITAL-TZ.COM



· ZAN Securities Ltd P.O. Box 5366, Dar es Salaam au Tel +255 22 2126415 info@zansec.com



2. Jaza fomu ulizopewa


Baada ya kuprint fomu ulizotumiwa utajaza kutokana na mahitaji ya fomu husika. Baada ya kumaliza kujaza fomu zako, utazi scan zote na kuzituma kama attachment kwenye email ya brocker na kusubiri majibu kutoka kwake.

3. Utatumiwa kiasi cha kutuma na akaunti ya benki kwa ajili ya kuingiza pesa


Baada ya kutuma fomu zako kwa brocker atazipitia na kujua ni kiasi gani ulipie ili uweze kununua hisa hizo. Baada ya kupata akaunti ya benki ya utaingiza kiasi cha pesa ambacho umeambiwa kwenye akaunti ya kampuni ya brocker. Baada ya kulipia benki pesa za ununuzi wa hisa uta scan risiti ya benki.


4. Tuma risiti ya benki ambayo umescan kwenye email ya brocker


Baada ya kuscan risiti ya benki utatuma kwa brocker ili kuthibitisha kuwa umefanya malipo hayo kwenye akaunti yao na wewe ni muhusika. Baada ya kutuma atakujibu kuwa amepata na usubiri hisa zako kununuliwa.


5. Subiri kununuliwa kwa hisa zako


Baada ya kupitia hatua zote, subiri kwa ajili ya kununuliwa kwa hisa zako. Kutoka na kupanda na kushuka kwa bei unaweza kumwambia kuwa brocker anunue hisa zako kulingana na bei ya soko hii ni kwa sababu wakati unajaza fomu ulipanga bei ya kununulia.


Kumbuka: Vitu vyote nilivyoelewa unaweza kufanya ndani ya siku moja ikiwa utawasiliana na brocker mapema na kufanya kwa uharaka. Vile vile unaweza tumia gmail akaunti kwa urahisi wa utumaji wa taarifa zako.


Chanzo: Emmanuel Mahundi, JiongezeUfahamu Blog
 
CompanyISINDate ListedNumber
of
Listed
Shares
Nature of Business
TOL Gases Ltd. (TOL)TZ199610000815th April, 199837,223,686Production and distribution of industrial gases,welding equipments, medical gases, etc.
Tanzania Breweries Ltd.(TBL)TZ19961000169th September, 1998294,928,463Tanzania Breweries Limited (TBL) manufactures, sells and distributes clear beer, alcoholic fruit beverages (AFB’s) and non-alcoholic beverages within Tanzania. TBL has controlling interests in Tanzania Distilleries Limited (TDL) and Darbrew Limited.
Tatepa Company Ltd.(TATEPA)TZ199610006517th December, 1999 17,857,165Growing,processing,blending, marketing and distribution of tea and instant.
Tanzania Cigarette Company.(TCC)TZ199610003216thNovember,2000100,000,000Manufacturing,marketing,distribution and sale of cigarettes.
Tanga Cement Public Ltd Co.(SIMBA)TZ199610005726thSeptember,200263,671,045Production, sale and marketing of cement.
Swissport Tanzania Ltd.
(SWISSPORT)
TZ199610004026th September,200636,000,000Airports handling of passengers and cargo.
Tanzania Portland Cement Co. Ltd. (TWIGA)TZ199610002429th September,2006179,923,100Production, sale and marketing of cement.
DCB Commercial Bank (DCB)TZ199610021416thSeptember,200867,827,897Commercial bank
National Microfinance
Bank (NMB)
TZ19961002226thNovember 2008500,000,000Commercial bank
CRDB Bank(CRDB)TZ199610030517thJune 20092,176,532,160Commercial bank
Precision Air Services Plc
(PAL)
TZ199610104821stDecember 2011193,856,750Air transport services
Maendeleo Bank Plc
(Maendeleo)
TZ19961016834thNovember 20139,066,701Commercial bank
Swala Gas and OilTZ199610186511[SUP]th [/SUP]August 201499,954,467Mineral Exploration
Mkombozi Commercial BankTZ199610197229th December 201420,615,272Commercial bank
CROSS-LISTED COMPANIES
COMPANYISINDate listedNumber of Issued SharesNature of Business
Kenya Airways Ltd. (KA)KE00000003071[SUP]st[/SUP] October 2004461,615,484Passengers and cargo transportation to different destinations in the world
East African Breweries Ltd (EABL)KE000000021629[SUP]th[/SUP] June 2005658,978,630Holding company of various companies involved in production, marketing and distribution of balt beer in Kenya, Uganda, Tanzania and Mauritius
Jubilee Holdings Ltd (JHL)KE000000027320[SUP]th[/SUP] December 200636,000,000Holding company of many companies involved in insurance business in Kenya, Uganda and Tanzania
Kenya Commercial Bank (KCB)KE000000031517[SUP]th[/SUP] December 20082,217,777,777Commercial Bank
National Media Group (NMG)KE000000038021[SUP]st[/SUP] February 2011157,118,572News media group
Acacia Mining PLCGB00B61D2N637[SUP]th[/SUP] December 2011410,085,499Mining and production of gold
Uchumi Supermarket LtdKE000000048915[SUP]th [/SUP]August 2014265,426,614Supermarket
 
Habari wana Jf

Nataka kuwekeza katika hisa ila sina elimu ya kutosha kuhusu Huu uwekezaji mwenye kufahamu chochote anisaidie elimu ya kutosha kwa ujumla,kama vile Faida na hasara zake,makampuni mzuri ya kununua hizo hisa, kama kuna madalali wapi wazuri na namna ya kununua.

Naomba kuwasilisha
 
Na Mimi pia ningependa kujifunza kwamaana nahitaji sana kuwa mmoja wa watu wanaonunua hisa.
 
Ukitaka kujua.vizuri.mambo ya hisa nenda mlimani city duka la vitabu ulizia.kitabu cha Hisa mwandishi emilian busara, sh 5000 hv,hapo utajua kinaitwa hisa akiba na uwekezaji.
 
Waungwana mie naomba kujua nini chakuangalia kabla ya kuchagua ununue hisa kampuni. Maanake navyoelewa Faida nzuri kwny biashara ya hisa ukiwa unanunua hisa kwa bei ya chini na bei ikapanda unauza.

Lkn kutokana bei Mara nyingine inashuka ingekuwa vizuri kama kuna mtaalamu atueleze what key indicators to look into company
 
Watu wengi wanatamani kununua hisa kupitia soko la Hisa la Dar es salaam ila bado hawafahamu ni jinsi gani wanaweza kununua hisa wakiwa mahali popote pale Tanzania. Soko la Hisa limetengeneza njia rahisi ambayo kila mtu anaweza kununua hisa akiwa sehemu yoyote ile Tanzania.


Unapohitaji kununua Hisa katika soko la Hisa unatakiwa kuwa na email, akaunti ya bank na kuwa na mawasiliano brocker yoyote Yule ambaye amesajiliwa katika soko la Hisa.




Hivi ndivyo unavyoweza kununua Hisa


Baada ya kufanya maamuzi ya kampuni gani ya kununua katika soko la Hisa. Unaweza kutamfuta brocker ambaye amesajiliwa na soko la Hisa kwa ajili ya kununua hisa zako.


1. Wasiliana Brocker kwa ajili ya kununua hisa


Wasiliana na brocker yoyote ambaye amesajiliwa katika soko la hisa. Baada ya kuwasiliana na brocker ataomba email yako kwa ajili ya kukutumia fomu za kujaza. Utaprint fomu hizo ambazo zitakuwa mbili; moja kwa ajili ya taarifa zako binafsi na nyingine kwa ajili ya ununuzi wa hisa.


Hii ni orodha ya Brockers waliosajiliwa na soko la Hisa


· CORE securities Ltd; Mawasiliano Tel: +255 22 212 3103 au info@coresecurities.co.tz


· Orbit Securities Co. Ltd; Mawasiliano Tel: +255 22 211 1758 au orbit@orbit.co.tz


· Rasilimali Ltd; Mawasiliano Tel: +255 22 211 1711 au rasilimali@africaonline.co.tz


· Tanzania Securities Ltd; Tel: +255 22 211 2807 au info@tanzaniasecurities.co.tz



· Vertex International Securities Ltd; Tel: +255 22 211 6382 au vertex@vertex.co.tz



· Solomon Stockbrokers Co. Ltd; Tel: +255 22 211 2874 au solomon@simbanet.net



· E.A. Capital Ltd P.O. Box 20650, Dar es Salaam au Tel +255 779740818/ +255 784461759 EC@EACAPITAL-TZ.COM



· ZAN Securities Ltd P.O. Box 5366, Dar es Salaam au Tel +255 22 2126415 info@zansec.com



2. Jaza fomu ulizopewa


Baada ya kuprint fomu ulizotumiwa utajaza kutokana na mahitaji ya fomu husika. Baada ya kumaliza kujaza fomu zako, utazi scan zote na kuzituma kama attachment kwenye email ya brocker na kusubiri majibu kutoka kwake.

3. Utatumiwa kiasi cha kutuma na akaunti ya benki kwa ajili ya kuingiza pesa


Baada ya kutuma fomu zako kwa brocker atazipitia na kujua ni kiasi gani ulipie ili uweze kununua hisa hizo. Baada ya kupata akaunti ya benki ya utaingiza kiasi cha pesa ambacho umeambiwa kwenye akaunti ya kampuni ya brocker. Baada ya kulipia benki pesa za ununuzi wa hisa uta scan risiti ya benki.


4. Tuma risiti ya benki ambayo umescan kwenye email ya brocker


Baada ya kuscan risiti ya benki utatuma kwa brocker ili kuthibitisha kuwa umefanya malipo hayo kwenye akaunti yao na wewe ni muhusika. Baada ya kutuma atakujibu kuwa amepata na usubiri hisa zako kununuliwa.


5. Subiri kununuliwa kwa hisa zako


Baada ya kupitia hatua zote, subiri kwa ajili ya kununuliwa kwa hisa zako. Kutoka na kupanda na kushuka kwa bei unaweza kumwambia kuwa brocker anunue hisa zako kulingana na bei ya soko hii ni kwa sababu wakati unajaza fomu ulipanga bei ya kununulia.


Kumbuka: Vitu vyote nilivyoelewa unaweza kufanya ndani ya siku moja ikiwa utawasiliana na brocker mapema na kufanya kwa uharaka. Vile vile unaweza tumia gmail akaunti kwa urahisi wa utumaji wa taarifa zako.


Chanzo: Emmanuel Mahundi, JiongezeUfahamu Blog
Ok
 
Back
Top Bottom