Recent content by Manjo Al watani

  1. Manjo Al watani

    Natafuta mafundi hawa Fundi Blandering, Fundi Gypsum, Fundi Skimming kwa wanaowajua wazoefu niunganisheni nao/nae

    Hbr natumai ni mzima wa afya hii post niya mda nafikili ulishawapata naka kazi itakuwailishafanyika ila kama ikitokea kazi nyingine plz usisite kunitafuta katka upande wa rangi na kuhusu upande wa bandalingi na board nikutoe hofu niko na kampan ya mafundi ninao waamini ambao nimeshawapeleka...
  2. Manjo Al watani

    Msaada: Ni material gani nzuri kwa skimming ya nyumba baada ya kupiga plasta

    Upo sahihi mkuu maana makadilio ya kwenye picha ni tofaut na uwalisia ila tusiwavunje moyo wate acha tu waendelee kukutumia picha ili tuwape makadilia maana wengine huwa wanadhan gharama itakuwa kubwa zaid ndio maana anajalibu kuuliza kwa mafundi tofaut tofaut ili kujua service charge na...
  3. Manjo Al watani

    Kazi ya udalali inalipa sana kiukweli siwezi kuiacha hii kazi

    Sio inalipa mkuu usichokielewa ni kwamba ww u naona hujawekeza chochote na unatengeneza pesa ila kumbukuka kunamda inakushukua mda gan mpaka kumpata mteja naizitoshe unakuwa haupo pekeyako mfana laki nane unaweza mkakuta mpo sita au wanne na unachokisahau ni ule mda unaopoteza kumsubili mteja...
  4. Manjo Al watani

    Mjue kwa undani msemaji wa wananchi

    Cocastic huu ndo muonekano wako wa profile au ni picha tu mummy maana mmh!
  5. Manjo Al watani

    Nauza spea used za magari haya kwenye picha

    Tujenge pamoja mtaji wa mtu ni watu nawatuwenyewe ndio mm ww na yule. Inshaallah mwenyezimungu atuongoze kwa kila jema na kher machon pake 🙏🙏
  6. Manjo Al watani

    Posho kwa waajiriwa kwenye maduka ya hardware (costruction material)

    Hamna bro muajir atakiwi kuibiwa kinacho fanyika ni kujiongeza kipitia bidhaa za muajiri wako ni hilo tu
  7. Manjo Al watani

    Posho kwa waajiriwa kwenye maduka ya hardware (costruction material)

    Kaka utachoka ww sema inategemea kama boss hatokuepo basi unyama ni mwingi sema usiwe tu na tamaa mwanetu ww chakufanya kila kifaa utakacho uza unaongeza dusco tu mfa ndoo rangi silk inauzwa 17000 lita 20 inategemea na campuni ya rangi sasa ww ukiuza na 180000 mwisho 175000 siombaya unaweza...
  8. Manjo Al watani

    Nauza spea used za magari haya kwenye picha

    Swali zur mkuu big up sana
Back
Top Bottom