Mawasiliano Ya Simu Au Email Za Wajumbe Wakatiba Ziwekwe Wazi ili wananchi tuwape hoja za kulijenga taifa badala ya kunda bungeni kujadili maswala yao binafsi.
Ni Aibu Sana Taifa Linaloongozwa Kwa Maadili Yaliyojengeka Miongoni Mwetu, Viongozi Wa Dini, Waserikali (mawaziri Akiwemo Bernad Membe) Wamewahi Kutoa Matamko Mara Kadhaa Kupinga Vitendo Vya Ushoga Lakn Hakuna Cha Maana Hadi Sasa Kilichofanywa Kudhibiti Suala Hilo. Ni Kauli Za Kisiasa. Je Sheria...
Wadau Naombeni Mnijuze Ipi Ni Piki2 Bora Zaidi Ya Nyingine. Nataka Kununua Kwa Matumizi Yangu. Je Ni Kweli Boxer Inatunza Mafuta Yaan I Lita Kwa 60 Km Lkn Haimili Miki2? Vip Kuhusu Sanlg? Msaada Tafadhali.
Nahitaji Piki2 Aina Ya Boxer Ambayo Haijatumika Zaidi Ya Miezi 6 Na Iliyopo Ktk Hali Nzuri. Iwe Na Documents Zake Zote. Maeneo Iwe Dar Es Salaam, Bagamoyo, Kibaha, Chalinze Au Moro Town. Mawasiliano 0684061951 Piga Au Tuma Sms.
mleta mada nadhani unajifunza kuwa mchambuzi wa siasa. kwa bahati mbaya unauwalakini na ubinafsi mkubwa ktk uchambuzi wako ni bora kama kuna kazi nyingine unafanya endelea na kazi yako huku inaonesha hukuwezi. na kama ni mwanasiasa hakika uwezi kufika mbali kwa sababu unaufinyu wa fikra.
si tu mtwara na lindi pia ruvuma hajafanya chochote cha kujivunia. inawezekana chama chetu hakina dhamira ya kupata kura ktk mikoa hiyo ndo mana wanalegalega.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.