Recent content by MANG'ONYI

  1. MANG'ONYI

    Polepole: Mkapa na Magufuli walikua na Bond kwakua wote waliingia Uraisi wakiwa na Deni kubwa la awamu ilopita

    Mwinyi Aliikuta nchi hoi akaiacha taabani. Mkapa akaijenga nchi sana, akaingia Kikwete ikawa ikawa ni kashfa baada ya Kashfa, EPA, RICHMOND, DOWANS, aliteua mawazi na manaibu 61. Akaiacha hoi.
  2. MANG'ONYI

    Temeke: kijiji anachokaa Mbunge anayemaliza muda wake chakatiwa maji ili kumkomoa, ni Mwezi mzima sasa, Dawasco yaufyata

    Ndani ya Keko DSM kuna kijiji? Kama unaandika ushubwada huu tutaaminije taarifa zako?
  3. MANG'ONYI

    Kuporomoka kwa Maadili ya Ajira: Mfumo wa Upendeleo Unavyohujumu Matumaini ya Wasomi wa Tanzania

    Vijana gani wamekaanga akili? Akili zenyewe zipo kwanza? Kama akili zenyewe ndo kama za Rais wa TAHLISO ni huzuni.
  4. MANG'ONYI

    Tetesi: GE2025 Idara imefuta Mfumo wa Chawa siasani

    Huna akili, hajasomea chochote, Daktari wa heshima, Honoris Causa. Unashindwa hata kujua udaktari wa heshima, sasa wewe na hao la saba mna tofauti gani?
  5. MANG'ONYI

    Tetesi: GE2025 Hanje Nusrat (Mrs Kitenge) aongoza Kura za maoni Singida Mashariki

    Labda litokee la kutokea, lakini hali ilivyo kuna Diwani wa Kata moja ndo mbunge mtarajiwa. Nusrat anaonekana mgeni kwenye chama, wanasema asubiri kwanza, siyo kuja umekuta watu na kupewa tu cheo😀
  6. MANG'ONYI

    Tetesi: GE2025 Hanje Nusrat (Mrs Kitenge) aongoza Kura za maoni Singida Mashariki

    Chombo yake ya 4, Mtaturu mjanja mjanja sana, anaahidi michango kwenye harambe makanisani na misikitini anakula kona, Elimu magumashi, kauli za kibabe.
  7. MANG'ONYI

    Tetesi: GE2025 Hanje Nusrat (Mrs Kitenge) aongoza Kura za maoni Singida Mashariki

    Baada ya mchujo majina matatu ndiyo yatarudishwa kupigiwa kura
  8. MANG'ONYI

    Tetesi: GE2025 Hanje Nusrat (Mrs Kitenge) aongoza Kura za maoni Singida Mashariki

    Kura za maoni bado acha uongo, sasahivi ni mchakato wa Kamati za siasa za mikoa kujadili majina na kutuma mapendekezo Halmashauri kuu ya Taifa ambayo itarudisha majina matatu kwa ajili ya kupigiwa kura apatikane mgombea mmoja ambaye atachukua fomu ya kugombea ubunge.
  9. MANG'ONYI

    GE2025 Wananchi Terati Arusha wafunga barabara wakimkataa Mgombea Udiwani aliyeteuliwa na kamati ya Kata CCM

    Vikao vya Kamati za siasa za Wilaya ndo vinakaa leo kwa ajili ya kujadili na kutoa mapendekezo yao kwa kamati za siasa za mikoa. Vikao vya kamati za siasa za Mikoa vinatarajiwa kukaa kuanzia tarehe 9, ndivyo vitapendekeza majina matatu kwa ajili ya kupigiwa kura. KInachoendelea hapo ni siasa za...
  10. MANG'ONYI

    Nionyesheni mradi wowote wa Samia 2021-2025

    Elewa ulichoulizwa tafadhali, kitu kupya walichoanzisha tofauti na hiyo aliyoanzisha JPM. Ina maana bila JPM kuanzisha hiyo miradi mliyomalizia, hamna kitu mngebuni, kweli hamkujiandaa, ina maana hamna kitu kipya mnachofikiria.
Back
Top Bottom