Recent content by Mangilingili Chausingizi

  1. M

    Mbunge wa CCM Lazaro Nyalandu anavyocheza na akili za CHADEMA

    Katika kijiji fulani baba mmoja alifiwa na mtoto, baada ya mazishi MC alimkaribisha msemaji wa familia kwa neno la shukrani, mbaya zaidi yule msemaji wa familia aliwashukuru majirani waliofika kuwafariji wafiwa, jumuiya ya kanisa kwa huduma yao msibani na kisha madaktari waliojaribu kuokoa...
  2. M

    Lema: Mh. Rais, Vyama vya siasa sio uadui

    Rejea kikao cha ma-IGP wastaafu specifically MAHITA na IGP wa sasa, possibly we can get some hints from within
  3. M

    Hivi Sugu mbona haongelewi na wanachadema baada ya kugonga na kuua?

    Kuna hoja za kitoto kweli, yaani nyie kwenye chama chenu hamwezi kuona jambo baya ndani ya jamii mkaanzisha mjadala ili haki itendeke, mnangoja CDM kwa kila jambo. CDM wao waliweza kuona lile la DITOPILE kwa haraka ila hili la SUGU msiposha dude ni upuuzi wenu wenyewe, anzisheni mchakamchaka na...
  4. M

    Mtihani mkubwa kwa Rais Magufuli ni huu hapa

    Ulianza vizuri sana kwa maana waTz wengi hatuna elimu ya uraia na hatuwezi kuona mambo kwa jicho la tatu, ajabu paragraph 2 za mwisho unaingiza mambo ya KIJINGA, narudia tena umeingiza mambo ya KIJINGA. Kwa hiyo hilo kundi lililozoea pesa chafu vyombo vya dola vimeshindwa kubaini hata mmoja tu...
  5. M

    Mtumishi wa umma ashinda uchaguzi CCM

    Huyo aliyeshinda anaomba mwandishi wa habari wakutane kesho ofisini ili waongee kwa kina, ni ofisi ipi anayosema hapo. Ni hiyo ya Elimu-Mvomero ambapo mkurugenzi anasema aliyeshinda yuko masomoni au anamaanisha wakutane ofisi ya CCM na kwamba kesho atakuwa ameishakabidhiwa ofisi rasmi, na hivyo...
  6. M

    Yanayoendelea nchini: Nape atupa madongo

    The brains of our African politicians are partitioned into 2 parts which are "left and right part". In the LEFT part of the brain we find " nothing right" and in the RIGHT part there is "nothing left". But take note that few of them are EXCEPTIONAL
  7. M

    CHADEMA walikataa kufuata utaratibu wa Serikali wa matibabu ya wagonjwa kama ulivyoainishwa na Wizara ya Afya!

    Kwa hiyo sasa mgonjwa yuko Muhimbili? Mbona tunasikia maagizo kwamba ndg wa mgonjwa wapeleke ombi rasmi serikalini ili ndg yao apate matibabu, au taratibu za serikali zimebadilika? Halafu kwa kiongozi akiugua hiyo ni automatic serikali inabidi imtibu kwa kodi zetu sasa huu utaratibu wa kupeleka...
  8. M

    Tuendelee kumchangia Lissu tuachane na CCM

    I agree and concur with you!
  9. M

    Tetesi: Serikali kuunda tume ya kimahakama kuchunguza sintofahamu kuhusu utekaji na utesaji wa raia

    Mada ya kipuuzi kabisa, hakuna mashindano ya kupost humu ndani. Unaweza ukajipa muda wa kutosha na akili ikafanya kazi yake vizuri hatimaye ukaja na hoja yenye mashiko. Si vyombo vya ulinzi na usalama vipo na tuliambiwa tuviache vifanye kazi yake nyie huko mtaa wa pili kwa nn mnaweweseka...
Back
Top Bottom