Hapo ndiyo ninakochokaga Sasa sijui ni mtoa habari kakosea au ni hivyo sijui ila sishangai gari toka japan mpk bandarini dar inaweza kuwa million 3 kulingana na aina ya gari ila kodi inaweza kuwa million 6 au 5 sijui kigezo ni kipi napita tu
Mwenye akili timamu atajua tu kiki yaani kwel mali ya mungu mtu wa dar ifikie hatua ya kutangazwa mnada ? Kiki hiyo ili watu waone kuwa kuna usawa kwenye sheria ya kulipa kodi hapo ni hewa tu
Huyu senge si huwa anafuatilia malaika kila anapopita anafanya shoo za kistahili mara anawapa wamama mipesa mara cash kujenga sijui nini, mwacheni aje hapa msimzuie mwache atoe kero yake ss jamaa akajua atapata chochote kwa gia ya nauli wote ni mazuzu tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.