Recent content by mangichogo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Afrika Kusini: Uamuzi wa Bunge wa kuzuia mchakato wa kumwondoa Rais Ramaphosa ulikuwa kinyume cha Katiba

    Mahakama zao zipo huru ndio maana wanaamaendeleo makubwa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Montana Khamenei Mojtaba Khamenei! Mojtaba Khamenei hatuko naye

    Huu ushuzi umeuokota wapi?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Trump atangaza kuwa Iran imekubali Urani yake ipelekwe Marekani; huku Iran yenyewe ikisisitiza kuwa hakuna kitu kama hicho!

    Marekani aliomba ceasefire Irani ikaweka masharti. Israeli na marekani wakakengeuka kwa kutaka kuendelea kuishambulia Lebanon. Kwa kukiuka hilo sharti Iran ikagoma kufunhua huo mlango. Baunsa wa zamani akaona maji ya shingo akampiga biti mwanae kuacha kuishambulia Lebanon ndio Iran imefufungua...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Netanyahu anaendelea kutambea mitaani lakini viongozi wa Iran wanajificha sana tofauti na wanavyoongea mbele ya maiki hawaogopi kufa ?

    Tunawahacha viongozi wa Israeli makusudi ili washuudie baba yao USA akianguka kijeshi na kiuchumi na wao kukosa ulinzi.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Iran Ndani ya Kibano Kikali cha Marekani, Hakuna meli yoyote inayoruhusiwa Kuingia au Kutoka Bandari za Iran

    Acha ujinga na usituganye na sisi waninga kama wewe. Kama ni hivyo Israeli imewezekamaje kuwa na hizo silaha?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Trump asema Marekani itaudhibiti kijeshi Mlango-Bahari wa Hormuz

    Walokole wa tz ni mabumunda, vitu vya kijinga na ambavyo haviwezekani kwasababu vimetamkwa na marekani mnavisapoti na kuvifurahia Hiyo plani ya ukichaa anataka kuiweka Trump, haitawezekana kwa sababu ya uchumi wa dunia. Ni taahira pekee anayeweza kusema jambo hilo litawezekana
  7. M

    JamiiForums Tanzania Netanyahu: Iran sasa ni dhaifu

    Lugha hiyo hiyo ndio aliyoitumia kum drag Trump kuingia katika vita na Iran na matokeo yake Trump akaomba kusimamisha vita
  8. M

    JamiiForums Tanzania Marekani imekubali kuachilia mali za Iran zilizozuiliwa zilizoshikiliwa Qatar na benki zingine za kigeni, chanzo kikuu cha Iran kiliambia Reuters

    Ndivyo mmekaririshwa hivyo? Kama imerudishwa nyuma kijeshi wajaje hao shosti wako wakatie mguu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Marekani imekubali kuachilia mali za Iran zilizozuiliwa zilizoshikiliwa Qatar na benki zingine za kigeni, chanzo kikuu cha Iran kiliambia Reuters

    Irani kila raia ni kiongozi na ndio maana hakijaaribika kitu. Muendelezo wa moto upo pale pale
  10. M

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwanini isiwezekane wakati mali ni halali ya iran?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Alafu walokole wa kutoka Ilelmela watakuja kusema Israeli imeuwa viongozi kadhaa, Je iran imeuwa nani? 🤣🤣
  12. M

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kama ni hatari kiivyo kwanini akwenda kupigana na iran peke yake? Israeli imepigana na nchi gani mpaka unalopoka kiasi hicho?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Unashabikia shambulio la kigaidi. Unalenga raia ktk populated area kama ukapige mtaa wa kongo kariakoo alafu ujisifu kwa kuua watu wengi. Arafu wewe unaona hiyo ni akili. PUMBAFU
  14. M

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    l Kwani malengo ya Israel ilikuwa kufanya assassinations? Hizo assassinations zimeisaidia nini Israel? Mbona hizo assassinations walizianza miaka mingi sana na azijasaidia kitu, wameuwa wanasayansi wengi sana wa Iran ili kuizuia Iran isifanikiwe ktk sayansi ya nuclear lakini haikufanya kazi...
Back
Top Bottom