Marekani aliomba ceasefire Irani ikaweka masharti. Israeli na marekani wakakengeuka kwa kutaka kuendelea kuishambulia Lebanon.
Kwa kukiuka hilo sharti Iran ikagoma kufunhua huo mlango. Baunsa wa zamani akaona maji ya shingo akampiga biti mwanae kuacha kuishambulia Lebanon ndio Iran imefufungua...
Walokole wa tz ni mabumunda, vitu vya kijinga na ambavyo haviwezekani kwasababu vimetamkwa na marekani mnavisapoti na kuvifurahia
Hiyo plani ya ukichaa anataka kuiweka Trump, haitawezekana kwa sababu ya uchumi wa dunia. Ni taahira pekee anayeweza kusema jambo hilo litawezekana
Unashabikia shambulio la kigaidi. Unalenga raia ktk populated area kama ukapige mtaa wa kongo kariakoo alafu ujisifu kwa kuua watu wengi. Arafu wewe unaona hiyo ni akili. PUMBAFU
l
Kwani malengo ya Israel ilikuwa kufanya assassinations? Hizo assassinations zimeisaidia nini Israel?
Mbona hizo assassinations walizianza miaka mingi sana na azijasaidia kitu, wameuwa wanasayansi wengi sana wa Iran ili kuizuia Iran isifanikiwe ktk sayansi ya nuclear lakini haikufanya kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.