Hatuzungumzii swala la kurudia uchaguzi tunazungumzia swala la matokeo kuendelea kutangazwa na ataeshinda aapishwe kuwa raisi wa Zanzibar
Kwanini ccm inangangania kurudia uchaguzi wakati kwa mujibu wa matangazo ya tume shein alikua akiongoza hadi walipokatisha matangazo?? Kuna woga gani hapo...
Computer za wabunge zinasaidia vip kutatua changamoto zinazowapata wanachi kwa sasa??..
Hospitalini hamna madawa, walimu wanadai malimbikizo yao
Alichokizungumza hakina mashiko kwa wanachi kwa kipindi hiki
Unazungumzia nchi gani hapo??
Kenya pamoja na uchaguzi wao kusababisha vifo vya zaidi wa watu 1000 wamepata mtu sahihi anayewaongoza nchi yao sasa ipo kwenye UCHUMI wa kati huku ikiendelea kukimbiza EAC kielimu. Zaidi ya asilimia 89 ya bajeti yao inategemea pato la ndani
Burundi ni nchi...
Tupe ushahidi wa uongo ulioelezwa na ITV kuhusu kuokota karatasi za kura ambazo zilikua zimempa magufuli kura ya ndio!? Niliiona taarifa na naamini ni ya ukweli vp wewe utuambie ni uongo??
Sheria ya vyombo vya habari inasemaje kuhusu kutoa taarifa za uongo kwa uma?? Kwanini serikali...
Barua ya Jecha nimeisoma na nimeielewa sanaa lakini haina mashiko
Haikuainisha kikao halali kilochojadili changamoto hizo na hatimae kufikia maamuzi kwa maana hiyo uamuzi ulikua wa jecha mwenyewe (pengine kwa kushinikizwa na ccm)
Kwanini wanajeshi zaidi ya 70 walizunguka kituo cha kutangazia...
1.Tatizo karatasi au tatizo aliyetoa zabuni ya kutengeneza karatasi??
Inawezekana kwa namna moja ana nyingine zabuni hiyo ilitolewa kwa makusudi ili wapinzani wakishinda utetezi wenu wa kwanza uwe "karatasi"
2. Mawakala waliovamiwa waliripoti polisi na je polisi walichukua hatua gani?? Vituo vya...
Umenielewa lakini?? Au unajaribu kulazimisha swala la matokeo??
Kama ni swala la Matokeo yamapatikana kutoka kwenye vituo vya kupigia kura na fom walizosain mawakala wa vyama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.