Recent content by manface

  1. manface

    Unataka uombewe wewe lakini hutaki wenzako waombewe Mzee huo Ubinafsi .

    Kwan makanisani huwa wa naomba kibari cha kusanyika
  2. manface

    Kutoka Bungeni: Juma Nkamia ataka uchaguzi wa Rais ufanyike kila baada ya miaka 7

    Kwa hali ya uchumi inavyokwenda nadhan kuna Haja ya kupunguza muda wa Rais kutoka miaka mitano mitano na kwenda miaka mitatu mitatu kwan hapa magu an miaka miwili tu Lakin hali ni mbaya kila seats sio uchumi sio democratic, je miaka minane iliyobaki itakuwaje thaqafa. Kwa utaratibu tulionao wa...
  3. manface

    DCI: Tumemchoka Mange

    Sidhani kama aliyepost ni mange ukiangalia content mazingira ya siasa yameshabirika
  4. manface

    Mbowe aenda na jina la Msigwa mfukoni, Olle Sosopi atemwa

    Jaman siku hizi hata waliosusia kura zao zinaesabika kiaje sasa i akuwaje unajumlisha 44+28=72 watu wakisusia kura zao zinakuwa zimeharibika au
  5. manface

    Kosa kubwa la Malecela wa NIMR: Rais kaona mbali athari za ZIKA

    Kila siku tunalia ripoti za uchunguzi ziweke hadharani leo wameweka mmegeuka tena kuwa mkurugezi aliyetoa ripoti kwa umma kakosea. watu vigeugeu jaaman au anachosema tembo siku zote ni sahihi. mhm jitegemee kwa fikra aisee
  6. manface

    Haya yatamkuta Polepole huko mbeleni

    nadhani inamlipa saiv kwa kazi nzuri ya kuchafua watu. Eti mchambuzi anaegemea upande mmoja na anamchambua lowasa tu mhm analysit wa wapi huyu kumbe katumwa nadhani posho imekuwa kubwa sana kuliko input yake vyeo ving mpaka vinagongana sijui aache kipi achukue kipi. unafiki naona kumbe unalipa aise
  7. manface

    Humphrey Polepole aeleza mikakati yake baada ya kukabidhiwa ofisi na Nape Nnauye

    Nilijua ka jamaa nin kijana mbona nimeuangalia vizuri naona kama age go vile
  8. manface

    Humphrey Polepole aeleza mikakati yake baada ya kukabidhiwa ofisi na Nape Nnauye

    Kuna research gap kabisa katika literature "poverty is serious disease"
  9. manface

    Tundu Lissu kutinga Mahakama Kuu kushinikiza Maxence afikishwe Mahakamani

    Hakuna bora zaid ya mwingine sio lema sio melo dont make justification
  10. manface

    Haya yatamkuta Polepole huko mbeleni

    yani nani hapo sasa anawapenda watanzania wote.........nisije nikachunguzwa ngoja nifunge moth yangu tu.
Back
Top Bottom