Utafiti hufanywa kwa vitu ambavyo havijafanywa. Kwani nchi hii ni nani asiyejua kuwa ina uhaba wa madawati? Ishu ya escrow si inajulikana! .mi naona sio dhambi kwa twaweza kufanya walivyofanya maana nalo ni jambo muhimu kwa mustakabali wa kesho
Ni matokeo ya wanawake wengi wa siku hizi kuvaa nusu uchi kwayo vijana wana poteza uwezo wao wa shauku kwa vile kila siku wanaona maungo adimu ambayo mwenyezi mungualiamuru yafichwe sana ili kuwapatia wahusika hamu ya dhati pindi wakikutana kindoa.
Aidha kundi la rika hilo linahusika sana na...
Huyu Kagame ni mtu jeuri sana na jeshi letu bila kwenda mapema kummaliza kulekule Kongo alikuwa na mpango wa kuja kuvamia huku.
Mi naamini Tz kuamua kwenda kule hawajakurupuka ila wanajua wanachokifanya isipokuwa sisi wanannchi wa kawaida ndio tusiojua undani na kimsingi hatupaswi kujua undan...
Kagame halali usingizi na anajaribu kushawishi Uganda na Kenya waisaliti Tanzania but hataweza kwani Bongo haimtegemei mtu kwa kuishi isipokuwa amani tu na hiyo amani tutailinda kwa nguvu zote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.