Inaelekea mheshimiwa waziri wetu anaulemavu wa kusikia au hakielewi kishwahili alichokuwa anaongea Mwenyekiti wa CUF akiwaambia wana CUF kuwa maandamano na mkutano haupo. Nadhani apelekwe kwa daktari.
Mkuu hapo umepotoka. Maelezo hayo hayana ujinga wowote bali ni tahadhari kwa tunakoelekea. Serikali haina dini ila inatambua wananchi wake wana dini zao hivyo kuapa kwa kutumia vitabu vya dini hizo ni kumheshimu Mungu anayeabudiwa na watu hao. Kazi ya serikali sio kutukuza dini moja dhidi ya...
Ninachojua ni kuwa wajumbe wachache wa BMK yaani UKAWA hao ni mashujaa wanaoitetea nchi yao na maoni ya wananchi. Kurudi mjengoni sio tatizo ila warudi waijadili rasimu ya katiba iliyosheheni maoni halali ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sio rasimu ya upinzani iliyoletwa na CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.