Recent content by Mandevis

  1. M

    Wamasai kuwepo katikati ya mbuga ni hatari kwa wanyama

    Vaeni suruali njooni town tuchakarike sio kula swala na kulala chini miti huku mkioa wake wannewanne[emoji2][emoji2][emoji2] Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Wamasai kuwepo katikati ya mbuga ni hatari kwa wanyama

    Fikra hizi na zingine kama hizi zimepitwa na wakati. Ni fikra za karne nyuma na ni tofauti kabisa na hali halisi tunayoishi sasa. Wakati hizo sheria zinawekwa hata mji wa Arusha ulikuwa ni kijiji. Na labda wakati huo hata jiji la Nairobi ambapo ndiyo mji uliokuwa karibu kipindi hicho nadhani...
  3. M

    Chonde chonde BAKWATA, Msiige mkumbo Maaskofu wa KKKT, Jengo lenu halitaisha

    Naona kigunzi kimewaingia vizuri sana mwaka huu! Mnatafuta wa kuwasaidia kukichomoa. Sisi hatuna muda huo, tuache tutafute pepo.
  4. M

    Bila ya reli ya SGR kufika Ubungo, treni ya Abiria itakuwa ni kazi bure!

    Ubungo sio katikati ya jiji. Ni sawasawa na Mtoni kwa Aziz Ali tu.
  5. M

    Hela ya Burundi yazidi kuipiga bao shilling yetu ya Tanzania

    ANGALIA MSHAHARA ANAOPATA MFANYAKAZI. NDIO UTAJUA HIZO NAMBA HAZINA MAANA YOYOTE
  6. M

    Peter Msigwa: Spika Ndugai ona aibu, gharama za ndege ya kumleta Lissu Nairobi imelipwa na CHADEMA

    Kuna tofauti kubwa ya exchange rate ya dola katika invoice ya $9000.= sijui kwanini
  7. M

    Umejifunza nini kutokana na tukio la kushambuliwa kwa Lissu?

    Nimejifunza kukimbilia polisi na si nyumbani kama ukihisi kuna gari inakufuatilia mda mrefu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Kizaazaa baada ya diwani wa CHADEMA mwengine kutaka kujiuzulu leo

    KUNA KUNA TATIZO HAPO. UONGOZI WA CHADEMA UNAPASWA KUANISHA TATIZO NA KUREKEBISHA HARAKA.
  9. M

    Lowassa: Ninamuunga Mkono Kenyatta na nipo tayari kutoa msaada wakati wowote

    SIJAWAHI KUMSIKIA RAIS MAGUFULI WALA CCM WAKISEMA WANAMUUNGA MKONO MGOMBEA FULANI KWENYE UCHAGUZI KULE NCHINI KENYA. NADHANI WANAELEWA MADHARA YA KUFANYA HIVYO.
  10. M

    Maalim Seif amtangaza adui wake wa nne

    LABDA KAMA KUNA LINGINE. LAKINI KAMA NI SIASA TU, NAKUSHAURI MZEE SEFU UNGEJIUNGA CHADEMA ILI KUONGEZA NGUVU LABDA MTAFIKA HUKO MNAKOTAKA. NI USHAURI TU.
  11. M

    Mitandao ya simu kutoa siri za wateja, uhuru wa faragha upo wapi?

    VYOMBO VYA USALAMA VINAWEZA KUDUKUA MAWASILIANO BINAFSI YA MTU KWA AJILI YA KULINDA USALAMA WA NCHI.
  12. M

    Road licence kuwekwa kwenye mafuta sio uamuzi sahihi na athari yake ni kubwa zaidi ya tatizo

    JARIBU KUELEWA KIDOGO, NI HIVI: SERIKALI INAKUSUDIA KUFUTA LESENI YA BARABARA LAKINI PIA INAKUSUDIA KUONGEZA KODI KIDOGO KTK MAFUTA. HII NINI KUSUDIO LAKE:- 1. KUONGEZA MAPATO 2. KUONDOA KERO KTK UFUATILIAJI WA HIZO LESENI 3. KUPUNGUZA GHARAMA KM. UCHAPISHAJI NA YONO AU MAJEMBE 4. KUONDOA...
  13. M

    Fred Mpendazoe: Siwaelewi Tundu Lissu na CHADEMA

    Naona siku hizi humu ndani watu tumeacha kujadili hoja. Tunatumia kashfa na matusi tu. Kama hoja ya mtu huikubali, sema huikubali kwasababu gani. Au kunyamaza pia busara kuliko kutoa kashfa.
  14. M

    Tundu Lissu: Tusishabikie maamuzi ya kijinga kwasababu tu yamefanywa na Rais

    Hapa kuna watu wanasumbuliwa na wivu kufuatia utendaji wa mh Rais. Kero anazofanyia kazi rais wetu ni hoja zinazotumiwa na baadhi ya wanasiasa kujitangaza. Sasa wanahisi zikiisha watakosa cha kusema. Mzee piga kazi usisikize maneno maneno
Back
Top Bottom