Habari wadau!
Natumia macbook pro 2015 with retina, ilikuwa inakata na chako kwa saa 10 mpaka 12 lakin ghafla imeanza kupoteza uwezo wa kukaa na chaj mpaka kufikia kukaa na chaj kwa saa 1 mpaka 2!
Tatizo linaweza kuwa ni nini? Na je nifanye kutatua tatizo hili?!
Natanguliza shukrani.
Habari wa wkuu!
Nna Huawei mobile wifi lakini inaoparate line ya voda pekee, msaada tafadhali ni jinsi gani naweza ku_unlock ili niweze kutumia na mitandao mingine.
Thankyu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.