Recent content by Man_Sai

  1. Man_Sai

    Ukurasa wa 56

    Ndio Komando Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Man_Sai

    Riwaya: Ukurasa wa 56

    RIWAYA: UKURASA WA 56 MTUNZI: FRANK MASAI MAWASILIANO: 0717738973 SEHEMU YA 2. KOREA KASKAZINI Baada ya umeme kukatika ndani, General Pyong akaanza kuhaha huku na huko asijue anataka kufanya nini. Ndani ya dakika kadhaa, alikuwa kachachawa vilivyo kwa sababu si kawaida kwa nchi ile kukatikiwa...
  3. Man_Sai

    Ukurasa wa 56

    RIWAYA: UKURASA WA 56 MTUNZI: FRANK MASAI MAWASILIANO: 0717738973 SEHEMU YA 1. KOREA KASKAZINI Ni usiku ambao kwa pale Korea Kaskazini ulikuwa ni wa kipekee sana. Baridi kali iliendelea kuwachapa wakazi na waenyeji wa nchi ile ambao walikuwa wanalanda huku na huko kwenye kutafuta mahitaji na...
  4. Man_Sai

    Riwaya Kali Sehemu ya 3

    RIWAYA: Jina NA: Frank Masai SEHEMU YA 3. ILIPOISHIA. Pale alipoirusha, alijikuta akitumia nguvu nyingi ambazo zilimfanya asogee mbele kidogo ya Frank, na kwa kuwa alimkosa mtu aliyekusudia, basi ikawa adhabu kwake. Frank baada ya kupinda kwenda nyuma na fimbo ile kupitiliza, alijiinua kwenda...
  5. Man_Sai

    Riwaya Kali

    RIWAYA: Jina NA: Frank Masai. SEHEMU YA 2. ENDELEA. Warusha ndege waliingia ndani ya Jet P 112, na kufunga mikanda yao. Na nyuma yao, walikaa Montana na watu wake. Wakashauriwa nao wavae mikanda pamoja na "mask" zilizokuwa zimeambatana na vidumu vidogo vyenye hewa ya oksijeni. Montana na watu...
  6. Man_Sai

    Nafasi za kazi zipo...

    Haina app?
  7. Man_Sai

    Riwaya Kali

    SIMULIZI: Jina NA: Frank Masai SEHEMU YA 1. "Ni siku nisizoweza kuzisahau. Ni siku zilizobadili maisha yangu na kuwa maisha mengine katika dunia hii. Siwezi kusahau, na siwezi kuthubutu kusahau jinsi jina lilivotesa maisha yangu. Jinsi jina lilivyonibadili na kuwa mtu tofauti na nilivyokuwa...
  8. Man_Sai

    Kama ulikuwa hujui

    Mi mpya humu
Back
Top Bottom