sasa musa anakosaje kua na uhusiano na wayaudi wakati wote wametoka katika shina moja ambae ni yakobo?! musa alitoka kwa Lawi na wayaudi ni wauzao wa yuda ambapo Lawi na Yuda ni watoto wa yakobo ambae ndo israel mwenyewe.
Afu kati ya uislamu na uyahudi kipi kilianza!?
uyahudi ulianza baada ya kifo cha sulemani, na ilikua ni matokeo ya kutengana kwa makabila 12 ya israel ambapo makabila 11 yaliunga na kuendelea na jina la israel na makao yake makuu yakawa Samaria, kabila la yuda likasimama kivyake na makao yake makuu yakabaki yerusalem....
ko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.