Recent content by man hb

  1. M

    Lissu: Kwa hali jinsi ilivyo, Dar ndio itakayochelewesha ukombozi wa nchi hii

    waambie ukwel mh.hawakawii kusema matokeo yamechakachuliwa wakati wao wenyewe huwa,hawahudhurii ktk mambo ya msingi kama hayo.Achana nao mh,komaa na haohao wachache wenye akili na uchungu na TAIFA lao na hao ndio huitwa VIBWANGAI.
  2. M

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    haaaa!na ubibi wote huo unataka kumgegeda nani???ushindwe na ulegee.
  3. M

    Natafuta mchumba.......

    kwani tembo card ndo inayotafuta mchumba???
  4. M

    Natafuta mchumba.......

    May be kama una sifa hizo.
  5. M

    Mwanaume aliye serious please.

    Me nipo tyr,lakini wewe umezeeka tayari.
  6. M

    kwa mwanaume aliyesiriaz

    Mmmmh!umri wako mkubwa sana.
  7. M

    Mchumba wangu amekuwa akinipa vitisho......

    yaweza kuwa ya ktt kwako
  8. M

    Natafuta mchumba.......

    .div 1
  9. M

    Natafuta mchumba.......

    Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 22,nipo chuo kikuu cha Dar es salaam,natafuta mchumba wa kumuoa baada ya kumaliza chuo.SIFA:1.AWE MWEUPE KIASI,MREFU KIASI NA MWENYE MAADILI.2.ELIMU KUANZIA KIDATO CHA NNE NB:AWE NA KAZI YEYOTE INAYOMUINGIZIA KIPATO Piga namba(0684059572)
  10. M

    Mchumba wangu amekuwa akinipa vitisho......

    Jamani mimi ni kijana wa kiume nina mchumba wangu muda mwingi umepita,lkn tabia zake kwa sasa hazinilizishi kwan nahisi amenizoea sana na kuniona wa kawaida.Hivyo nataka kumuacha lakini amekuwa akinambia kwamba siku nikimuacha anajiua so sielewi nifanyeje jamani,wana JF naombeni msaada wenu.
  11. M

    Please read, inawahusu wote wakaka na wadada

    Huy boy ni mwanauchumi
Back
Top Bottom