Wanawake Kwangu Hata Wamtoe Mbinguni Simwamini Kwani Ni Vigeugeu Akiamua Kuchange Dk Mbili Unaumia Some Time Unaweza Kufa Kzembe Kisa Kumwamin ~ Nafuata Kaul Za Fid Q Kwamba Sipaswi Kumwamini Mwongo Hata Kama Ataongea Ukweli
Me nakushauri kama hupungukiwi kitu Usipende wanawake alo ni chenga tna shda ebana nasema hvyo kwa 7bu yamenikuta yakunikuta kama unanielewa pnda pesa ukiwa na pesa unakua na mtu yeyote unaemjua na unaemtaman huo ndo ukweli
Dah Ila Watanzania Noma Sasa Misemo Hii Inawekwa Kwenye Mikokoteni Ya Kuvuta Wanyama Au Mtu Anaandika Jina La Bass Au Kari Zuri _at mtu kaandika ferrari kwenye mkokoteni wa ng'ombe mbaya zaidi kavaa shati imeandikwa wasafi ukimcheki nguo zinachakalia mwilini bila ya kufuliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.