Recent content by Mamy7

  1. Mamy7

    Massage Mwanza

    Wale wapenzi wa massage mliopo mkoa wa Mwanza au mnaotembelea mkoa wa Mwanza karibuni kwa huduma tiba ya kukandwa misuli a.k.a massage Nipigie 0759026697 kwa maelezo zaidi,karibu!
  2. Mamy7

    Nauza duka kwa mtu anaetaka kuanza biashara

    Habari wana jamvi. Kuna duka naliuza liko Mwanza Nyasaka. Ni duka la urembo lina vipodozi,nguo,mikoba na viatu. Naliuza milioni 2.5 tu na kodi yake inaenda hadi January 2025. Kwaiyo ukinunua wewe ni kuingia tu na kuanza biashara. Kwa mawasiliano nipigie 0759026697
  3. Mamy7

    Nafazi za kazi ukanda wa Gaza

    Khaaa nenda mwenyewe na ndugu zako[emoji2]ina maana ukoo wako wote wana ajira?si uchukue majobless kwenye clan yenu uende nao[emoji2][emoji2][emoji2]
  4. Mamy7

    Walioitwa usaili TRA Septemba 2023

    Hayo maswali ni ya Oral dear,usijidanganye kwamba utayakuta kwenye written interview.Written interview inakuaga hadi na calculations za kufa mtu kutegemea na proffession yako.Kwaiyo mnaoenda kwenye interview someni mjiandae vizuri
  5. Mamy7

    Walioitwa usaili TRA Septemba 2023

    Watatuma mimi niliwapigia asubuhi wakasema zitatumwa leo na kesho....watu ni wengi sio rahisi wote wapate leo
  6. Mamy7

    Walioitwa usaili TRA Septemba 2023

    Wameshazituma kwenye email,angalia email yako utaziona
  7. Mamy7

    Ajira mpya za TRA

    Nilijaza address ya nilipo,sijui nini kimetokea.Maana kusafiri hadi Dar na ni interview ya watu wengi hivyo ukikosa nauli inapotea bure
  8. Mamy7

    Ajira mpya za TRA

    Wamepanga venue kutokana na mtu alipo au wamezingatia vigezo gani? Mbona wengine wa Mwanza tumepelekwa Dar jamani wakati naona kuna venue ya Saut Mwanza,nasikia kulia
  9. Mamy7

    Je, unapenda kuwa katika kampuni inayokulipa mshahara mkubwa au yenye hadhi ya juu sana?

    Hadhi ya kampuni itakusaidia nini wewe na sio kampuni yako, wewe chagua mshahara mkubwa ili in the future na wewe uwe umekusanya mtaji uanzishe kampuni yako.
  10. Mamy7

    Huu mwaka niajiriwe, nimechoka

    Ukishapata sehemu ya kurogea niambie na mimi,mwaka huu lazima tuajiriwe my wangu hata kwa kuoga njia panda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani umenifanya nimecheka kwa sauti mbele za watu
  11. Mamy7

    Ajira mpya za TRA

    Sasa unahangaika na magroup ya whatsapp ya nini si usubiri tu Mungu afanye njia upigiwe simu au utumiwe email ya interview. Majina hayatatumwa kwenye group la whatsapp maana admin sio TRA tulia acha kuhangaika
  12. Mamy7

    Siwezi kuendelea kufanya hii kazi, mwenye moyo wa kuifanya anicheki PM

    Kuingia saa kumi usiku na kutoka saa sita usiku,inamaana unakaa nyumbani masaa manne tu kila siku?au mimi ndo sijaelewa vizuri.Kama ni hivyo ujue basi hiyo sio kazi ni mateso,bora mshahara ungekua mkubwa
  13. Mamy7

    Utumishi interview kwa mara ya kwanza

    Wanawafatiliaje?
  14. Mamy7

    Utumishi interview kwa mara ya kwanza

    Saa na kucheat vinahusiana nini jamani? Au mimi ndo mshamba
  15. Mamy7

    Naomba ushauri kuhusu biashara ya nguo Mwanza

    Mtaji wa laki 5 hautoshi,chumba cha biashara utapanga kwa bei gani? Leseni utakata kwa bei gani?kudrsign duka kama kuweka shelves utatumia bei gani? Bado uende Dar kufuata mzigo nauli ya kwenda na kurudi tu ni zaidi ya laki. Labda kama ulimaanisha mtaji milioni 5. Ila kama ni laki 5 kama...
Back
Top Bottom