Recent content by Mamy223

  1. M

    House4Rent Natafuta nyumba ya kupanga ya NHC maeneo ya upanga au posta

    Inamaana kwa sasa hamna wanaohamishianakwa kilemba embu nijuze
  2. M

    DAWASA Kibaha wanabambikia watu bili za maji, mamlaka waangalie kuna kitu huku

    Hamna nyumba Sina shamba nyumba ina wapangaji family 2 umla watu sita bili ilikua inakuja elfu 30 wakaongeza hadi 50 nikanyamaza. Sasa wameniwekea mwezi lakin5 nikaenda kulalamika sijalipa wakakagua mita wakasema mita yao ipo sawa tatizo litakua kwangu kuna leakage kubwa ndo maana bili...
  3. M

    DAWASA Kibaha wanabambikia watu bili za maji, mamlaka waangalie kuna kitu huku

    Yani mie mwanzoni bili ilikua inakuja elfu 50 nikakubaliana na hali sema asaivi wameniletea bili laki 5 kwa mwezi yani sielewi kabisa, ukienda wanakuambia tunakuachia ulipe kwa awamu
  4. M

    DAWASA Kibaha wanabambikia watu bili za maji, mamlaka waangalie kuna kitu huku

    Jamani mwenzenu bili imekuja laki 5 kwa mwezi sijalipia miezi 2 asaivi bili imefika milion moja na laki tano, nikienda kulalamika wananiambia lipia kwa aawamu , naombeni ushauri nifanyeje.
  5. M

    Nifanye nini karo la choo lisijae haraka?

    Sasa kama mimi nimejenga sehemu ya udongo wa mfinyanzi na shimo ni moja nafasi ni ndogo, pia majirani hawajajenga mashimo mazuri nahisi pia maji yao yatembea yanakuja kwangu , ushauri pls nimejenga shimo la kawaida linajaa mwezi nikaamua kuweka biodigester nalo maji yanatoka nje ya fensi hadi...
  6. M

    Bei za fremu Morogoro Mjini

    Habari zenu, Naomba kujua bei za fremu Morogoro Mjini mitaa ya karibu na soko kuu. asante
Back
Top Bottom