Misafara hii ya nini jamani? Kwaza alikuwa anaenda wapi? Halafu watu kibao wanakula tu pesa za walipa kodi kudadadeki huu ni ujinga, kwenye hiyo ajali amekufa mama mmoja kwenye land cruiser
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.