Hata kama kina Kawawa na Warioba walifanya ufisadi but ufisadi wao walikuwa waerevu zaidi,Mkapa kushatakiwa ni lazima.Watazania tutekeleze ile "motto ya awamu ya tatu- UWAZI NA UKWELI" . UWAZI wa Mkapa ni kufanya ufisadi na biashara ndani ya Ikulu??.("IKULU MAHALI PATAKATIFU" sio msemo wangu but...
huyu mr dirty hawezi kuongea na wanahabari wala kujitokeza kujibu tuhuma"jamani mmnesahau alivyo upta urais wakati ule alipo hojiwa na cnn alishindwa kuhimili yale maswali..."!! nionavyo mimi ni heri kinga ya marais wote duniani ingetolewa ili wawe na adabu maana wanafanya ufisadi kwa kujua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.