Hakika maswali ni mengi sana kuliko hilo la utumbuaji .. linaloshangiliwa na na hawa vijana: Kinachoonekana hapa ni kwamba hii ni serikali ya matukio ... matamshi na utumbuaji tu! Vijana wengi wa kijani wanachopenda kusiki utumbuaji lakini hawahoji kama unavyohoji hapo juu! Na sidhani kama...
.... Unawapa pole Maafisa wa Serikali? Waache waisome namba (kwani wameusahau huu wimbo wao kwa wapinzani?) .. Hii itawapa akili ya kujitathmini 2020. Maana wanapoambiwa kuwa ccm ni ile ile hawaelewi! Ngoja hadithi hii iendeelee! Na kwa mtindo huu Watumishi wengi wa Serikali watapukutika chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.