Recent content by Mamaa Fasiness

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tangaza na JF, Mahali Jamii inapokutana

    Nauza crips za ndizi pact moja elfu moja jumla na rejareja unaletewa mpaka mlangoni kama una supermarket au sehemu yoyote ya biashara call; 0658933388
  2. M

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kumtibu mpenzi anae kupa bao moja nawe ujaridhika<

    Nunua tikitimaji moja na ndimu mbili, kata tikitimaji lako nusu limenye toa nyama ya kati na mbegu zake weka kwenye sufuria kamulia na ndimu zote mbili tia maji kidogo weka jikoni ichemke kidogo mtilie yale maji na zile mbegu za tikiti mpe anywe kama juisi alafu muanze mambo yenu utaona jinsi...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

    Hawana akili wakipata majanga huko mfano; kuumwa au kuumia wanarudi nyumbani kuuguzwa na wake zao si muendelee na hao wa kando wanaojua mapenzi unarudi home kufanya nini? Yaani hawana akili hawa viumbe
  4. M

    JamiiForums Tanzania Maisha magumu na elimu bila kukaza aaa hutoki

    Si kweli mbona wengi hawana Elimu na wametoka. Sikuhizi elimu sio ishu ishu pesa tu utasota xkul ukija huku kusaka ajira unaambulia upepo bola kufuta ujinga ila hamna kitu cha maisha magumu bila Elimu
Back
Top Bottom