Ubongo wako finyu kukaa au kusimama kutakusaidia nini elimu sikushangai elimu yako ya kukalia jiwe darasani ndy ilokupa uwezo wa kuuliza maswali ya kilofa.
Hicho kichefufu chako siyo hotuba ya Lowasa bali ni wewe kuwakumbatia hao wenzako unakula nao hela ya ESCROW,EPA , MEREMETA sasa umevimbiwa na kusikia kichefuchefu
Nimekubali ndg Zig inabidi wajikumbushe walivyokuwa waenda kusuluhisha nchi jirani kulipotokea matukio ya wakati wa uchaguzi Kenya na Burundi pia wote ni mashaidi wa migogoro ya Sudan , Misri ,Somalia na Syria chanzo kikuu ni watawala wanaofanana na hawa wanaosema : Bao la mkono,Wapumbavu...
ESCROW walewale wamepeta Vijisenti joka lenye makengeza, Hela ya mboga ,kusaini mikataba mibovu n.k wanategemea kurudi tena kutuongoza malofa na W apumbavu
Maadili ya kipindi cha kambeni yalijadiliwa sana yalikuwa kwenye makongamano na tume iliyaanisha sasa yalihusu uchaguzi wa Burundi au Tanzania maana sijasikia kalipio lolote lilotolewa na tume ya uchaguzi kuhusu lugha ilitumiwa na mtu tuliyemuheshimu kama mzee Mkapa.Tunasubiri majibu yenu.
Waheshiwa Makongoro na Nape hawa ndy majasiri wanapaswa kuvikwa nishani walijitoa muhanga maisha yao kwa ajili ya wanyonge mungu awabaliki Tuko pamoja katika vita vya kupinga ufisadi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.