Jamani acha wakomeshwe kabisa, maana inauma sana mzazi unajinyima ili mtoto asome halafu jitu zima linakuharibia mtoto. Watoto wa umri wa Sekondari wanakuwa na mabadiliko kwenye miili yao, mojawapo ya kazi ya waalimu ni kuwasaidia watoto wanapokuwa katika kipindi hicho sio kuwaharibu
Uchunguzi ufanyike vizuri tupewe taarifa kamili, kwa maana maji ya kumtundikia mgonjwa sio kitu cha kukosekana hosipitali labda waseme dawa au kitu kingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.