Recent content by mama S

  1. M

    Thamani ya maneno POLE na SAMAHANI katika Mahusiano

    Tumekuwa tukitofautiana sana na mpenzi wangu lakini baada ya kukaa kimya kwa muda nikitafakari niamue nn cha kufanya juu ya maisha yangu niliwaza kabla sita make decision embu nijaribu kuwa mjinga. Kujishusha na kusuputu kusema SAMAHANI kwa yote nilio tenda kwako naomba tuanze upya maisha yetu...
  2. M

    Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

    Mume wangu ni mkurya nampenda sana kwa sababu nikifanya kosa ni mkali sana inanifanya atamimi kujitaidi kukaa kwenye mstar kwa sababu sitaki kumuuzi, Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
  3. M

    Some stupid things that ladies do in the name of love

    Boys sizan kama mnajua kinacho waponza wasichana au wanawake ni true love,when a woman loves she loves for real,sasa kama kuwapenda imekuwa kosa na kuwafanyia haya kaamjue wawanawake huwa hawajali vitu niwepes wa kugive up, nanyinyi ndio huwa mstar wa mbele kuwa danganya ili muwapate kiurahs,na...
  4. M

    Hii ni halali kweli?

    Andika maumivu hukiendelea kumpa nafasi,labda sana awe amezaa nae, Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
  5. M

    Kuchangia hii kitu na mke/mpenzi ni sawa?

    Mswaki big NO Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
  6. M

    Msaada ni mimi tu au ni wote

    Jishushe tu,hao wanao kufua ndio level yako,kuna mda wasio kufuata na wenyewe watajishusha wafanane na wewe kuwa mpole wape muda. Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
  7. M

    Wanawake mkubali mkatae mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe

    I hope somo limeeleweka vyakutosha Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
  8. M

    Wanawake mkubali mkatae mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe

    Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
  9. M

    Wanawake mkubali mkatae mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe

    Mwanamke kuonyesha hisia nikawaida lakin inategemea na mtu anaonyesha kwa style ipi!wanawake ujeur unaotokea mara nying ni ule unafonya kama kitu ukipendi una shauti,lakin mkiongea kwa taratibu ukuona onyesha hisia zako ni njema zaidi na wala hamtagombana. Sent from my BlackBerry 9380 using...
  10. M

    Wanawake mkubali mkatae mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe

    Kuna wanaume ambao hawabebeki kamwe na wapo wenye hila za ajabu,ukishaona mumeo yupo hivyo cha kwanza kabla ya kufanya maamuz tafuta siku ukaenae muulize hv tatizo nn umekuwa hv,jaribu kumkumbusha historia yenu mlipo kuwa mkiaidiana kuja kuishi pamoja,mkumbushe siku ya ndoa yenu jinsi ambavyo...
  11. M

    Wanawake mkubali mkatae mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe

    Wakina dada,kama unaona mambo ya mekushinda acha,inakuwa aina maana mlianza kwa kungata vidole muachane kwa vipigo,ukiona mwanaume aelekei na wewe kujishusha uwezi move on, Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
  12. M

    Hakujua kama babamkwe! akampa bonge la kiss

    So fun Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
  13. M

    Wanawake mkubali mkatae mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe

    Ee twendekazi mwenye swali uliza usiogepe,nipo kwaajili ya wana jamii.tunaelekezana na kuwekana sawa kwenyefamilia zetu Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
  14. M

    Wanawake mkubali mkatae mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe

    Kula break wandugu I will be back,msitoke povu la mdomo Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
  15. M

    Wanawake mkubali mkatae mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe

    Mdekeze mwenzio hata muda ukifika wa zamu yako asipo kudekeza muulize mbona mi huwa nafanya kwako,na mimi nataka. Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
Back
Top Bottom