Recent content by mama patience

  1. M

    Bima ya Afya

    Mkuu kwa Arusha sababu mimi ni Mkazi wa Arusha Kuna Quas Njiro nane nane wanapokea kadi za bima ya afya
  2. M

    Bima ya Afya

    mimi binafsi naishukuru sana bima ya afya ya taifa na hata nikikosa dawa hosptal kuna maduka yana huduma hizo kwa hiyo nikiugua na sina pesa bado ni na amani
  3. M

    Jamani msaada kwa anae ijua weruweru girls

    mm sikua na bahati hiyo sijui ni mbaya au nzuri yaani nimesoma pale six yrs sikupata kiboy Umbwe lakin barua zenu tulizifahidi haswaa cc Naibili
  4. M

    Jamani msaada kwa anae ijua weruweru girls

    mmmh wa umbwe nn wewe? kwa taarifa tu barua zenu tulikua tunazisoma prepo mbele ya darasa zima haswa zile mlizochapia kingeredha! hahaha mkuu niekumbuka mbali sana
  5. M

    Jamani msaada kwa anae ijua weruweru girls

    weruweru mlezi wa wengi wanawake mbalimbali umewanyonyesha wachangia kuendeleza taifa letu sifa zako Tanzania hata nje za sifikaaa. Mpe dogo hongera kwa kuchaguliwa weruweru. shule ipo mailisita nje kidogo tu ya moshi. Uniform zinabadilika mara nyingi zinatolewa shuleni ila asisahau kubeba...
  6. M

    Ushauri:ingekuwa ni wewe ungefanyaje???

    nakuombea kwa Mungu ufanye maamuzi ya kuondoka kwa huyo bwana mapema sana kuliko unavyopanga. Utakuja kufa na magonjwa ukamwacha huyo mtoto mwenyewe. Plz hurry up hapo huhitajiki rafiki yangu
  7. M

    Baba Mwenye Nyumba ana maana gani katika hili?

    kitachofuata nikuzushiwa makubwa kutoka kwa huyo baba mbona dunia utaona chungu? Muhimu hama ila aga vizuri
Back
Top Bottom