Recent content by Mama Obama

  1. M

    Nchi za Afrika zinajidhalilisha sana, kulikuwa na haja gani Afrika Kusini kuishtaki Israel mahakama ya ICJ?

    Aliyeandika hii article Ana mawazo ya kijinga sana. South Africa ina haki ya kutetea na kuchukuwa hatuwa ikiona haki ya binadabu inavunjwa.. Watoto, wazee na watu wasiokuwa na hatia wanauwawa huku dunia inaon. Wewe ukiwa mmojawapo. Ona AIBU kuiita Africa ya kusini wanafiki. Mtu YEYOTE anayeona...
  2. M

    Majanga: Tanzania yaburuzwa Mahakama ya Usuluhishi kwa kuvunja Mkataba wa Mradi uliokuwa ufanyike Bagamoyo

    Hii imekuwa njia mojawapo wa vigogo wachache wanatengeneza mikataba mibovu ya uwongo, wakijuwa hakuna nia ya kuutimiza na wanajuwa Tanzania haina uwezo ama wana sheria wenye elimu ya kutosha kuitetea nchi, ili Tanzania ishitakiwe, na fedha zilipwe wachukuwe mukato wawo. Tanzania Kama nchi...
  3. M

    Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?

    MBONA umesahau mengi? Tanzania unayoiona Leo. Inayowaka mataa ni MAGUFULI. Tanzania unayoiona Leo kuku Sanyu fedha nyingi kutoka kwenye madini yetu ni MAGUFULI. Thamani ya Tanzania na kuwa na credit mzuri na uwezo mkubwa kulipa madani yetu ni MAGUFULI. TANZANIA SIO MASIKINI. KATUDHITISHIA KWA...
  4. M

    Hapa ndipo ambapo Hayati Magufuli alichemsha ila Samia kapaweza

    Hakuna lolote kwenye upinzani. Chadema ni chama kimejaa mafisadi wasiokuwa na sifa za uongozi. . Wamejipanga kuchukuwa serikali ili nawo waitafune nchi. .
  5. M

    Hapa ndipo ambapo Hayati Magufuli alichemsha ila Samia kapaweza

    Hayati Magufuli alikataa kujiunga na Kundi hili dogo la wadhurumaji wa Mali za wengi . Pande zote ndani ya CCM na CHADEMA, vimejaa mafisadi. Tanzania kwa sasa haina chama cha kutegemea, wote wanakula pamoja. Kumbukeni safari za Kikwete za Ulaya alisafiri na wapinzani. kulikuwa hakuna kelele...
  6. M

    Tetesi: Baraza la Mawaziri kufanyiwa mabadiliko karibuni

    THE UNTOUCHABLE MAJANGIRI WALIO ITEKA NCHI. WANAKULA ZAIDI YA KAMBA ZAWO. MATOKEO NI KODI NA TOZO KWA WATANZANIA WALIO WENGI.
  7. M

    Tetesi: Baraza la Mawaziri kufanyiwa mabadiliko karibuni

    Mabadiliko hayasaidii. Mtu akishaiba mabilioni ya walipa kodi, na kubadirishwa bila ya kushughulikiwa na akaondoka na fedha za watanzania, haina maana wala haisaidii kuogopesha wengine walioko madarakani. Yeyote atakayechaguliwa kuiSHIKS nafasi hiyo, hatakuwa na woga wa kuiba na kubanduka na...
  8. M

    Hivi Rais Samia angeamua kuanzisha uchunguzi wa tukio la Lissu kupigwa risasi, sukuma gang wangekuwa na hali gani? Shukurani kamsitiri

    Musisahau ni madakitari wa kitanzania ndiyo walio okowa maisha ya Lissu. Hakuna mtu angefaidika Lissu kufa zaidi ya Mbowe ambaye walipingana kwenye chama chawo Kwa matumizi mabaya ya fedha. Kila kukicha Magufuli mtu ambaye hawezi kuwajibu. Pambaneni na maisha yenu mpaka na nyinyi siku yenu ya...
  9. M

    Hivi Rais Samia angeamua kuanzisha uchunguzi wa tukio la Lissu kupigwa risasi, sukuma gang wangekuwa na hali gani? Shukurani kamsitiri

    Lissu asiangalie mbali. Uchunguzi wa tukio unaanzia na motive. Magu alikuwa hana motive ya kumpiga risasi Tundu Lissu. MAGU alikuwa ni Mkuu wa majestic na ni Rais, asingepoteza risasi 16 kama munavyodai Kwa Lissu. `Lissu asiangalie mbali wakati chama chake kina Gaidi anayeitwa Mbowe. Huyu...
  10. M

    Sabaya mahakamani tena akiwa peke yake

    Kama kuna uonevu na kisasi ni kesi ya Sabaya. Wanaojidai kutetea haki za binadamu ndiyo wanazivunj. Huyu mkuu wa mashitaka hana aibu kuitumia offisi ya mashitaka kama mali yake. Ninayemulaumu ni Rais Samia kukaa kimya wakati watu aliyewapa madaraka wakionea Watanzania wenzao. Gaidi Mbowe...
  11. M

    USHAURI: Rais Samia suluhisho pekee kwa Bandari Tanzania ni hili

    It is a good idea. Lakini kwasababu ya ufisadi, tunachaguwa wawekezaji wasiokuwa na sifa. Hakuna muwekezaji wa maana atakuja kuwekeza kwenye nchi inayonuka rushwa. Hakuna muwekezaji atakuja kuwekeza kwenye nchi isiyokuwa na (manpower). Hakuna muwekezaji mpenda haki atakuja kuwekeza kwenye nchi...
  12. M

    Bandari ya Dar es salaam yaipiku bandari ya Mombasa. Mizigo yaongezeka

    Bado hatujawashinda wakenya. Mizigo imeongezeka by 21% na Kenya imeshuka 6%, lakini bado wanafanya vizuri kutushinda. Ni nani yuko nyuma ya TCTS?
  13. M

    Wadau wa Bandari waomba TICTS isiongezewe mkabata

    Ubaya Rais anatenguwa kwa kusikiliza minong’ono ya uwongo wa watu wanaotaka nafasi hizo Kwa wenyewe na jamaa zawo. Watu wanatenguliwa Kwa uwongo. Kuna mtu anaweza kunielezea kesi ya Kakoko iliishia wapi? Je alishitakiwa Kwa uwongo uliosejeiana kakutwa na Mabilioni ya dolla? Rais anatumbuwa bila...
  14. M

    Eric Hamisi aliyetumbuliwa Bandari ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa MSCL

    Rais anateuwa Kwa kujuana na sio kwa ujuzi. . BWAWA la Nyerere leo hii limekwama Kwa kuteuwa watu wenye historia ya udanganyifu. Tanzania hatuna bunge, bunge halina sauti. Kuna uwoga mkubwa sana Kwa watu kuzungumuza, Kwa kuogopa kutenguliwa. Kwa sababu ya fitina na majungu, na uwoga wa...
  15. M

    Tundu Lissu apata passport mpya, amshukuru Rais Samia, kurudi Nchini

    Tundu Lissu haridhiki na chochote mpaka awe Rais. Sijuwi ni nani atampigia kura? Watanzania wengi WANAMUCHUKIA kwa matusi anayomutukana Hayati Magufuli. Raisi aliyekuwa kipenzi cha Watanzani. LAWAMA zisizokuwa na ushahidi. Hata waliokuwa wakimuonea huruma hawamuonei tena Huwezi kuendelea...
Back
Top Bottom