Mwandishi anataka kusema kwamba Nchimbi alikuwa mtu aliyekuwa na msimamo wake mwenyewe, hakufuata tu kila kitu alichoelekezwa na mfumo au chama. Alidai mabadiliko ya Katiba, alitetea wananchi na viongozi wa upinzani, na alipinga vitendo alivyoviona kuwa vya ukandamizaji. Ndiyo maana...
we Mzee umekuwa MUONGO sana, labla hujui maana ya Sovereignty!
Hapo umesema serikali mbili, Serikali ya Tanganyika Iko wapi ?? Serikali ya Tanganyika ilizikwa 1964 hali ya kuwa serikali ya Zanzibar ipo mpaka Leo.
Ninyi wazee ni wapuzi sana Bora kizazi chenu kife chote tuanze upya.
Sawa we unayejua mambo , sasa Kwa nini iwe Namibia na Uganda na sio Marekani na Kenya ? Na hao Marais wa Namibia na Uganda juzi tu walikuwepo Tanzania.
Hiyo ni tume nyingine ya mchongo Danganya toto.
nini
Hakuna jipya na hakuna jipya Kila siku ni uongo uongo tuu..
Bajeti ni Kwa ajili ya viongozi kula Bata na kupiga 10%.
Itafika 2030 hakuna la maana walilofanya hakuna bima ya afya Wala kuboresha Elimu ndio wataanza kujipanga kuiba uchaguzi.
Mawazo kama haya ndio ilitakiwa Waziri wa Elimu ayafanyie kazi, lakini yeye yupo busy kwenye semina za kulipana posho zisizo na tija lollote Kwa nchi hii.
Serikali ya ccm kamwe haiwezi kutoa Pesa Kwa ajili ya hilo jambo, mtaala ulioboreshwa mpaka sasa hakuna la maana lolote linaloendelea mashuleni.
Serikali ya ccm ni kansa ya maendeleo ya Nchi hii wapo tayari kutoa Mabilioni kununua Wapinzani lakini sio kufanya la maana.
Kama hilo Lina ukweli ninyi mbwa ccm msingekuwa mnapora uchaguzi. Sasa Kwa nini mnazuia mikutano ya kisiasa??
We jamaa unaongeaga kama akili zipo matakoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.