Recent content by Mama Naa

  1. Mama Naa

    GE2025 Asha Hussein Saleh wa CCM ashinda kiti cha Ubunge Fuoni

    Hakuna uchaguzi nchi hii chini ya serikali ya CCM Wala haujawahi kuwepo ni kupeana tu madaraka na kuiba pesa za umma.
  2. Mama Naa

    Baada ya NRNE chini ya Lissu na maridhiano chini Mbowe kufeli huu ndio ushauri wangu kwa Chadema

    NRNE ILIFANIKIWA KWANI HAKUKUWA NA UCHAGUZI BALI WATU KUCHUKUA MAMLAKA KWA NGUVU.
  3. Mama Naa

    Basi Sawa Tumeona Tayari Sasa Ibinafsishwe tu

    Nilishawahi kusema serikali ya CCM hakuna kitu hata kimoja imewahi / itawahi kufanya vizuri yaani hakuna hata kimoja. Wakitaka wafanye vizuri Kuna mambo mengi mno ya kubadilishwa na wao hawataki reforms Kwa sababu ya ulaji wao. NARUDIA HAKUNA KITU KITAFANIKIWA NA KULETA MATOKEO MAZURI CHINI YA...
  4. Mama Naa

    Wazazi, ndugu, jamaa na marafiki kama ndani ya jamii yenu kuna Panya Road mkanyeni

    Mbona wezi wa mali za umma hamja wahi kuwakanya...? Au Kwa sababu hao ni hatari za usalama wenu ??
  5. Mama Naa

    Je, ni nani aliyeharibu CHADEMA kati ya Mbowe aliyepeleka wanachama Bungeni na Lissu aliyeondoa wanachama Bungeni?

    Ninyi ccm mmeshashinda uchaguzi ( Kwa kuiba lakini) tulieni sasa kuleni bata achaneni na Chadema. Sasa hivi mjue wananchi wanaelewa sana Kila kinachoendelea. Lissu mmemuweka ndani na kuzuia Chadema kushiriki uchaguzi je hao wanachama wa Chadema wa kupelekwa bungeni na Lissu wangetoka wapi...
  6. Mama Naa

    Mnyang'anyi na matendo halali

    Ukizoea Haram unajisahau kama ni Haram, baadae kuja kushtuka it's too late. Ndio unaanza kuhalalisha Haram.
  7. Mama Naa

    Tanzania ya Sasa: Jamii, siasa na wanasiasa

    Umenena vyema. Lakini namna ya kutoka hapa tulipo lazima utaifa ndio utumike vinginevyo tutarudi kule kule Kwa muamba ngoma. Au tusubiri wazee wastaafu wafe kwanza maana waliyoyafanya ndio huwafanya waogope mabadiliko.
  8. Mama Naa

    Kuna UVCCM wamelipwa kuleta fujo kesho tumalizane nao on the spot maana maandamano ni ya amani

    Wana msisahau vyuma na vya moto hakuna kukaa kinyonge.
  9. Mama Naa

    PostGE2025 Mo29; Ole wake atakayeandamana. D9; Nimetumwa na Rais niwaombe msiandamane. Kwa kinyonge sana

    Wewe ndio huijui CCM, watu kama hao ndio wanapendwa na ccm ndio maana ana vyeo viwili.
  10. Mama Naa

    KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    Ila mkuu andika barua ya wazi kwenda NECTA ni wasikivu sana watafanyia kazi maoni yako.
  11. Mama Naa

    KERO Panel za usahihishaji mitihani ya kitaifa form two na form 4 - Waziri wa Elimu ziangaliwe upya, kuna ukabila uliokithiri

    Hao watakuwa wanatoa rushwa ya ngono HAIWEZEKANI Kila mwaka wawepo wao tu. Ila Ili jambo hata Mimi linaniuma sana Kuna walimu miaka 15+ kazini hajawahi kwenda marking hapo Kuna tatizo kubwa sana.
  12. Mama Naa

    Uongozi wa Taifa Bila Elimu ni Kama Kuvua Samaki Bila Uvuvi - Tunahitaji Mabadiliko Haraka!

    Kijana umesoma na una Elimu nzuri ya Master's halafu nchi wanafaidi machawa wa fom foo failure Huku ndugu na watoto wao wakila mema ya nchi. HAKIKA INATIA HASIRA SANA YAANI MNO. Watawala wanalipana mishahara minono na marupurupu kibao Huku WATUMISHI wengine wakiishi kwa madeni makubwa...
Back
Top Bottom