Nilishawahi kusema serikali ya CCM hakuna kitu hata kimoja imewahi / itawahi kufanya vizuri yaani hakuna hata kimoja. Wakitaka wafanye vizuri Kuna mambo mengi mno ya kubadilishwa na wao hawataki reforms Kwa sababu ya ulaji wao. NARUDIA HAKUNA KITU KITAFANIKIWA NA KULETA MATOKEO MAZURI CHINI YA...
Ninyi ccm mmeshashinda uchaguzi ( Kwa kuiba lakini) tulieni sasa kuleni bata achaneni na Chadema.
Sasa hivi mjue wananchi wanaelewa sana Kila kinachoendelea. Lissu mmemuweka ndani na kuzuia Chadema kushiriki uchaguzi je hao wanachama wa Chadema wa kupelekwa bungeni na Lissu wangetoka wapi...
Umenena vyema. Lakini namna ya kutoka hapa tulipo lazima utaifa ndio utumike vinginevyo tutarudi kule kule Kwa muamba ngoma.
Au tusubiri wazee wastaafu wafe kwanza maana waliyoyafanya ndio huwafanya waogope mabadiliko.
Hao watakuwa wanatoa rushwa ya ngono HAIWEZEKANI Kila mwaka wawepo wao tu.
Ila Ili jambo hata Mimi linaniuma sana Kuna walimu miaka 15+ kazini hajawahi kwenda marking hapo Kuna tatizo kubwa sana.
Kijana umesoma na una Elimu nzuri ya Master's halafu nchi wanafaidi machawa wa fom foo failure Huku ndugu na watoto wao wakila mema ya nchi. HAKIKA INATIA HASIRA SANA YAANI MNO.
Watawala wanalipana mishahara minono na marupurupu kibao Huku WATUMISHI wengine wakiishi kwa madeni makubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.