sjawah kuumwa in such a way kama nilivyokuwa, imekua ghafla sana sjawah umwa nikalazwa n homa za kawaida unaishia zako, unaumwa serious unakuja kukuta watu ambao sikutegemea na pia sikujua pia kuna watu wapo me naamka n dokta dokta ameamka
Hellow guys!!
I hope y'all doing well, and all is well, nimetoka kwenye usingizi wa kifo, i mean nilikua nimelazwa kwa wiki ya pili bila kujitambua, ilikua ghafla sana ilikua hivi
nimeamka siku moja nahisi kumichwa kuumwa,kizunguzungu kikali, natapika vitu vichungu good enough nilikua nimepita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.