Natafuta sehemu ambayo nitaweza kufanyia biashara ya chakula (mama lishe) na vinywaji baridi.
Eneo liwe sehemu yenye watu wengine kama stendi, vyuoni, mashuleni, nk.
Iwe mkoa wa daressalaam
Habarini wapendwa,
Mimi ni mjasiliamali mpya kabisa na nataka kuanza na kuku wa kisasa wa mayai hivyo naomba mnisaidie yafuatayo,
Nataka kuanza na kuku 500(vifaranga) nahitaji mtaji kiasi gani mpaka watakapoanza kutaga? (Banda lipo)
Je kuna uwezekano wa mimi mwenyewe kutengeneza chakula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.