asanteni sana wadau. shukrani ila sasa hayo mazoezi ya kufanya kupungua ndo yepi maana naruka ruka kutwa kama chura na nnahofia kupungia chini tu juu kukabaki. nafanyaje kupungia na kifua au juu in general
na kama unae ningependa kujua kama huwa anakuambia kuhusu mwili wako na anakupa vyote unavyovihitaji na umeridhika.? kwasababu cha msingi ni kuridhika na kuridhika tu inaanzia kwenye msingi maana unaweza ukawa unaridhika na mtu ambar hujapenda sana kuwa nae
usijali kijana mimi ni daktari wa saikologia na mara nyingi hii hutokana na kujiandaa kiakili kuna vijana wenzako wengi sana walikuja na tatizo kama lako na wamesaidika sana.kwa kuanza ningependa kujua kama una mpenzi au mwenza?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.