Hapo ninaomba ufafanuzi maana mi Nina tatizo nyumba yangu imepata fungus kwenye ukuta kwa ndani nusu ukuta na nje nayo rangi na cement inamomonyoka, sijui tatizo Ni Nini?
Navaa Kama kawaida, maana ukifa anayepata hasara si serikali ni familia yako. Tuchukue tahadhari, maana Mimi binafsi nimeshapoteza mtu muhimu sana kwa tatizo hilo, na bado watu kwenye familia wameumwa.
Lkn mleta mada muda si umefidiwa? Watoto wameongezewa masaa ya kusoma na muda umeongezwa mpk December 18,lifikirie ili Jambo kwa kina utaona Kuna haja ya kulipa ada tu. Na Kama na watoto wamepata kazi za shule walipokuwa likizo Ni sawa tu.
Lkn mleta mada muda si umefidiwa? Watoto wameongezewa masaa ya kusoma na muda umeongezwa mpk December 18,lifikirie ili Jambo kwa kina utaona Kuna haja ya kulipa ada tu. Na Kama na watoto wamepata kazi za shule walipokuwa likizo Ni sawa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.