Naomba mnisaidie anayejua chuo kinachofundisha kushona nguo kwa maeneo ya Wazo, Tegeta hadi Kawe.
Nina binti yangu nataka ajifunze ufundi nguo ila sijui nampeleka kujifunzia wapi? Naomba msaada wadau
Nimejifungua mtoto maziwa yalichelewa kutoka mtoto alipata manjano. Nilimpeleka hospital wakamuweka kwenye machine ya kutoa njano. Ninamtoa asibuhi juani ila naona bado haiishi.
Nomba mnisaidie dawa ya njano hata kama niya kienyeji nataka iishe kabisa.
Roho za ushoga zinaanza hivi hivi mtu anaanza kutamani kuwa mwanamke, kemea hiyo roho.
Harafu unadhani kuwa mwanamke ni rahisi. Majukumu ya kuwa mama unadhani ni rahisi? Kamuulize mama yako atakujibu
Wazazi huwa tunaangalia shule inayofanya vuzuri bila kuangalia vitu vinginr. Kuna rafiki yangu nilimshauri amwamishe mtoto shule ya karibu aachane na huo ujinga. Ndani ya miezi miwili mtoto alinenepa. Tunawapa watoto mateso sana
Kosa ni lako mzazi mtoto wa miaka minne unampeleka shule ya mbali.
Hapo anakuwa wa kwanza kuchukuliwa na wa mwisho kurudishwa. Unaweza kukuta anawahi kutoka ila anazunguka mji mzima kurudisha wenzake.
Mtoto mdogo unampeleka daycare za jirani za kutembea tu dada anampeleka saa saba au nane...
Kama umemuelewa mtoa mada ni analalamika kihusu hela ndio maana ameweka na gharama.
Halafu usidanganyike kuna uhusiano wa karibu sana kati ya muda wa kusoma na kufaulu.
Kwa akili za watoto wa kizazi hiki bila kuwasimamia kusoma hawawezi kufaulu watoto wanaanza shule wadogo.
Usifanamishe kizazi...
Wazazi sijui mnataka nini? Watoto wakifeli mnalalamika waalimu wakiwasaidia watoto kujiandaa na mitihani mnalalamika. Hizo shule za private mnaona wanavyoandaa watoto na mitihani. Watoto hao wa private wanashindana na hao watoto wenu.
Wazazi msipende vya bure wajibika kwa elimu ya mtoto wako...
Kwa kodi ipi?
Unasikiliza budget ya serikali au unaongea tu.
Makusanyo ya ndani yaani kodi hayatoshi budget ya mwaka ili budget itoshe kuna mikopo, fedha za misaada
Nenda kwenye tovoti ya wizara ya fedha kaangalie budget yetu ya mwaka huu fedha ya kodi ni shilingi ngapi?
We unadhani mataifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.