Mungu ni mkubwa saana hongera zake japo nilisikia kwenye radio moja jana mmoja amefariki wanebaki watatu. Mungu akukuzie Inshallah hao waliobaki waje wakufae baadae.
Mimi niliugua mwaka jana nilikua nina mtoto mchanga wa miezi miwili nilizipata chuo kuna dada alikua anaugua na tulikua kipindi cha mitihani akashindwa kuahirisha. Niliteseka saana maana zilinitoka mwili mzima hadi kwenye chuchu nilikua nasikitika kumnyonyesha mwanangu. Tulikua nyumba nzima na...
jitahidi sana kula vzuri wewe mwenyewe maziwa yatatoka tu hapo bado hayajachanganya vzuri kutoka kma unaweza kunyonyesha huna tatizo lolote la kiafya nakusha
uri umnyonyeshe tu mwanao maziwa ya mama ni bora kuliko kitu chochote achana na uji wa muhogo na vitu vingine nyonyesha na ule vzuri...
pole sana mamie binadamu tumeumbwa na maumbile tofauti ila naomba kuuliza kwa hyo wewe hujawahi kufika kilele cha maraha au ni ashk tu ndo huna utamu unapata kma kawaida?
nakumbuka kama miaka mitatu hivi imepita nilikua nasoma chuo dada mmoja alikua rafiki yangu akanipigia simu kwamba kapata shida kubwa akaniagiza vitu fulani hivi ambavyo vilikua nyumbani nilikua nimeshafika tazara ilibidi nigeuze gari kurudi ukonga nikamchukulia nafika chuo wenzangu wanafanya...
Habari za mida hii wadau? mimi ni mama wa mtoto mmoja wa miezi kumi na moja sasa. Mwanangu alipofika miezi miwili nilimuanzisha maziwa ya ng'ombe ndipo shida ilipoanza alikua anapata homa kali nilipompeleka hospitali baada ya vipimo ikagundulika damu na madini chuma yamepungua nakumbuka alikua...
duuh sikuwahi kuhisi kama kunyony
a kidole kuna uhusiano na uwezo wa akili wa mtu mi mtoto wangu ana miezi kumi hajawahi nyonya kidole ila cku za hivi karibuni ameanza tabia akiona chakula juice au maji anaingiza kidole mdomoni anatoa kma mtu anae onja kitu ukishampa anachotaka basi harudi tena.
Ninavojua hapa Tanzania huo utaalam wa kufuta tattoo bado ila Nairobi inawezekana ninae ndugu yangu ni mchoraji wa tattoo anawashauri watu wanaotaka kufuta kwenda Nairobi ngoja nitamuuliza kma unaufahamu juu ya hao wafutsji huko Nairobi
Habari zenu wakuu. mimi ni mama ninaye nyonyesha mtoto wa miezi kumi sasa. nilianza kupata cku zangu mtoto alipokuwa na miezi miwili ila nimeshangaa ghafla mwezi huu cjapata cku zangu na si mjamzito.Niliugua typhoid mpaka sasa nipo kwenye dozi ya typhoid inaweza kuwa sababu? asanteni
Habari za mida hii wakuu! ndugu zangu naugua tetekuwanga kwa siku ya pili leo nimeenda hospital nimepewa dawa ya vidonge ambayo ni AMPICLOX na ya kuogea POTASIUM PEMANGANET zinanisaidia kiasi fulani maana muasho umepungua japo vipele vinaongezeka.
Sasa tatizo ninasikia zinaambukiza haraka sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.