habarini za mida, jaman mwenzenu mbona nashindwa kufungua private messages? yaan kwakweli mimi ni mgeni kabisa humu, so bado sijaelewa vizuri jinsi ya kuitumia hii jamiiforum. naona kabisa nina msg private, ila nahangaika jinsi ya kuifungua nashindwa, msinicheke jamani
love u all,
mama carol
natamani cku moja kila mmoja atoe historia au aelezee jinsi anavyopambana na ufugaji wa kuku maana itakuwa inamfundisha na kumpa changamoto mwingine, yaan mfano nilianza na kuku kadhaaa, sasa nina kuku kadhaa, na nimepitia changamoto kadhaaa, yaan kama kubota alivyotoa mauzoefu yake.
Asanteni...
Asante Zipuwawa, yaani nilikua nikijaribu siku nyingi kujoin nikawa nashindwa sasa nimeweza nimejisikia raha sana, maana nitakua na share na wafugaji wenzangu, Zipuwawa uko pande zipi wewe? mimi niko arusha.
habari zenu wana jamii forums, ivi ugonjwa wa ndui kuku anakuwa anaharisha nyeupe? au nao ni ugonjwa mwingine tena? huo wa kuharisha nyeupe kama njano mpauko.
asanteni,
habari zenu wana jamii forum, nimesoma kwa makini sana makala ya ufugaji kuku wa kienyeji nimependa sana, nimependa jinsi watu wanavyotoa maujuzi katika kufuga kuku, nimewapenda bure. mubarikiwe
mama Carol
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.