Inaonekana wewe huko kwenu munapenda sana kuvaa nguo za uchi maana haujui kama dela ni vazi la HESHIMA fikiri na tafakari vizuri kabla haujatoa mapovu yako humu
Nafikiri Simon ulichokiandika ni mapenzi yako na si hali halisi wala ukweli kwani ungeujua ukweli na kama ungekuwa mkweli list yako ya MABEBERU ingekuwa ndefu hadi ndani ya serikali ambayo hata rais wetu anania ya kuwatumbua ila ulichoandika wewe ni ubinafsi wako tu NAZANI FIKRA ZAKO NI KAMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.