Recent content by Malovee

  1. M

    Kila ndoto ina sababu na kusudi, usije ukapuuza ndoto yako hata moja

    Hii ndoto inategemea ulikuwa unaokota pesa za aina gani, noti au sarafu, au pesa za kigeni, .ukiota unaokota au unapewa au unaokota pesa za kigeni zenye thamani au noti, wewe utafanikiwa Sana maisha I kwako but ukiota unaokota coin au unapewa ni roho ya umaskini inakufatilia.
  2. M

    Kila ndoto ina sababu na kusudi, usije ukapuuza ndoto yako hata moja

    Kuota mmejifungua ni baraka , ambayo itawwjia kwa haraka Sana , yawezekana mtaanzisha biashara au whatever ambayo itakuwa kwa haraka saana
  3. M

    Kila ndoto ina sababu na kusudi, usije ukapuuza ndoto yako hata moja

    Mkuu omba Sana , yaan katika ulimwengu wa roho Kuna vita inaendelea kazini kwako, so yakupasa uombe Sana uvunje hizo roho zinazofanyanvita na wewe. Ofisini kwako Kuna watu wanataka ufukuzwe , Ili wakalie nafasi yako so usipoomba itakuwa kweli, hivyo kazana kuomba.
  4. M

    Kila ndoto ina sababu na kusudi, usije ukapuuza ndoto yako hata moja

    Roho za kichawi zinafatilia mahusiano yako, suala la ndoa kutakuwa gumu kwako, msihi Mungu, anaefanya ushirikina katika eneo la mahusiano yako aachie
  5. M

    Kila ndoto ina sababu na kusudi, usije ukapuuza ndoto yako hata moja

    Unakuwa unepunguza kuwa karibu na Mungu, maana Mungu anasema na watu kupitia ndoto, ukiona huoti, ombea malango yako ya ndoto, ufahamu wako,zidisha ukaribu na Mungu
  6. M

    Aliyebahatika kusoma na mtoto wa kiongozi kwenye shule za kata aje hapa

    Mimi nimesoma na watoto wa ditopile ,ni mapacha Mariam na miraji ditopile japo walikuwa wamenipita madarasa mawili, mlimwa primary school, Dodoma
  7. M

    Utata wa maelezo juu ya kifo cha Katibu na motive ya Mkandamizaji

    Hivi mnaposema amepost kamsamehe mke wake, mbona mm sijaona ?amepost Instagram, Twitter au status naomba kueleweshwa please
  8. M

    SAUT siyo Chuo salama kwa Wanafunzi

    Nakuelrwa Sana mtoa mada Mimi tibaijuka alinishikilia yangu first year Kuu nakuelewa Sana Uzi wako, Sina hamu na saut, nilishikilowa na mhadhir somontangu first year Hadi third year nannikashindwa kugraduate kisa nimemkataa
  9. M

    Hivi unaanzaje kuwashtaki Qnet?

    Nimecheka?akikujibu utanistua🤣
  10. M

    Hivi unaanzaje kuwashtaki Qnet?

    Sister angu nilimshauri Sana Hawa watu MATAPELI, alliance hao, akanambia yaan ww siku ukiniona nimefanikiwa ndo utaamin, akapeleka laki Tano za kuniunga nikaona karudi na fuko limejaa madawa😂. Kazi ikawa kwake kuzitembeza na kuziuza kwa watu Ili arudishe pesa yake na faida. Hadi Leo...
  11. M

    Epuka sana kukopesha mtu pesa

    😂😂Mbona kama umepanic?
  12. M

    REDIFINE AFRICA achenj utapeli

    Yaani huwa naumia nikiona nyuzi za hivi, niloshawahi tapeliwa haki yangu mpaka Leo huwa namwachia Mungu.
Back
Top Bottom