Mbona wamefaulu hawa,mnakumbuka sifa za kusomea diploma ya ualimu si principal 2 kama zamani siku hizi principle moja na subsiary.sasa kama ndo hivyo mnataka wafaulu kwa kiwango gani zaidi ya sifa walizoingilia vyuoni.
wananchi kwa pamoja wameukataa mradi wa uchimbaji wa bauxite wakisema hauna faida kwao na kuwa wamejifunza kutokana na athari walizopata watu wa maeneo mengine kama nyamongo nk.
Jamaa kaomba msaada aweke waraka WA mishahara jamvini,mmempa e mail zenu kasema kawatumia.mbona mlotumiwa hamuuweki jamvini sote tuuone??.au ni siri?.basi kama siri nami nitumieni kupitia (jg7068@gmail.com)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.