Recent content by mallaposa

  1. mallaposa

    Ni marufuku wanaume kubembeleza wanawake

    Sawa usibembeleze lkini na wewe kubali kila dem utakaye guSa utatombewa tu mana mwanamke gani anataka ucuba kwenye mahusiano hao wakurya wenyewe wanabembeleza huyo mahita uliyekuwa unamjua ukimkuta ktk anga zake na ubandidu wote ule anabembwleza sembuse wewe bro. Mi nakubali unaweza fanya ivyo...
  2. mallaposa

    Do u knw him?

    Some one send to me ila sijui kama ni yeye kweli au it wamefanya yao ila kwa feelings zangu fake.nahisi huyu bwana yupo. Dunia ni ndogo sana ipo siku kila kitu kitawekwa wazi na wakukikanusha atakosekana
  3. mallaposa

    Do u knw him?

    Kuna wakati nahisi kama ni kweli
  4. mallaposa

    Do u knw him?

    Tanzania,tanzania,nia yako ni njema sanaaaaa.....!!!!
  5. mallaposa

    Waiting for perfect men(girls mtajuta)

    Nilikuwa some where baada ya kazi napata kinywaji na chakula pembeni yangu walikaa wasichana wanadscuss bout men. But wote walichokuwa wanachangia ni mwanaume sahihi. PERFECT men wa kuishi nao.kwa maongezi yao its like wote waliowapitia hawakufikia vigezo. Girls and boys. Nataka niwaambie...
Back
Top Bottom