Mleta mada ukinijibu mwasli haya nitakuelewesha kinacho endelea TASAF AWAMU YA TATU(3)
1)PRODUCTIVE SOCIAL SAFETY NET(PSSN)
2)PUBLIC WORKS PROGRAM
Ni vitu gani?
Labda mm fikra zangu ni finyu.lkn sidhan kama kuna radio/tv station inayoweza toa huduma na kuridhisha watu wote,inawezekana wakawa wa bovu kwenye taarifa ya habar lkn wakawa wazuri kwenye burudan.na burudan ni tasnia kubwa.inawezekana wakawa wazur kwenye mziki lkn michezo wakaharibu.ninachosema...
Kwa nn mnapenda kutumia rfnc ya ccm?MBONA CCM WAMEFANYA.,So kama ccm walifanya vikao vya siri ndo na ukawa wafate?tht means hata serikar mtaendesha sawa na ccm,tukiuliza mtasema mbona ccm walifanya.TWO WRONGS NEVER MAKES RIGHT
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.