Hapa ndio pakujifunza umuhimu wa kuwa na Apps zetu wenyewe (Watanzania) ambapo kama tungekuwa wazalendo tunge support developers wa hapa Tz ili wakitoa app ya social media kama insta na Fb tuzitumie za kwetu zaidi na tuwe addicted na za kwetu zaidi ya za nje...China wana apps zao na hadi search...
Hii sio router kubwa ambapo itahitaji kufungwa na kufanyiwa configurations..ni kama simu tu inakaa hata mfukoni..na inachajiwa kama simu ni kuweka line tu na kuiwasha basi..ili kuconnect na devices zako unaenda sehem ya wifi then utaona jina la hii router then utaconnect kwa kuweka password yake...
Huyo karopoka tu bila kuelewa hata mada kuu..Router ninayo uza ni ya universal inayo ingiza line..hivyo mtu ukiwa nayo unaweka line ya mtandao wowote kisha unajiunga vifurushi vya internet vya kawaida kulinga na uwezo wako baasi..hizo stori za kulipia 450k kwa mwezi ni uongoo
Jipatie Huawei MiFi router original ya 4G inayotumia line za mitandao yote Tanzania kwa bei nafuu kabisa ya Tsh 120,000/=
Tuwasiliane kwa number 0753 12 14 04 au 0658 02 03 61 kwa maongezi zaidi.
Picha zake hizi hapa.
Monitor nzuri kabisa..ni wide screen inapatikana Ubungo Dar es salaam..kwa uliye Dar es salaam nakuletea ulipo..
Mawasiliano ni 0658 02 03 61 au 0753 12 14 04..
Habarini waheshimiwa? Nina uhitaji wa kiti cha chuma cha cheke cheke au kwa jina lingine ni CUSTOMER WAITING CHAIR.. Kwa ambaye anacho cha used au kipya tuwasiliane kwa number 0753121404 (Whatsapp) au 0658 020361.
Najua kiti hichi kinapatikana Town kwenye maduka mbali mbali ila nina budget ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.