Recent content by Malinaahsheby

  1. M

    Nashukuru sana job junction Tanzania kwa workshops na mafunzo wanayotoa kwajili ya interviewees skills

    Naona wazi elimu uliyo nayo hajakusaidia ,Utalipiaje tangazo wakati mteja hausiki na tangazo bali huduma inayotolewa. Inaonesha huna hoja ya kuongea,Kama msomi nakuona hata kwenye kujibu maswali ya Interview huwezi that unaishi kwa kulaumu watu na jamii kwaujumla . Unastahili uanze kujilaum...
  2. M

    Nashukuru sana job junction Tanzania kwa workshops na mafunzo wanayotoa kwajili ya interviewees skills

    Ndugu unaonesha unachuki tu ila ukweli utabaki kuhusu huduma njema wanayo toa,Mtu kama anaitaji tambua ukweli atawatembelea na ataweza hakikisha ukweli upo wapi. Tatizo wabongo wanapenda ushabiki na story za kwenye kahawa,Kama msomi ni mtu anaishi kwa fact na hoja pia research sio ushabiki tu...
  3. M

    Nashukuru sana job junction Tanzania kwa workshops na mafunzo wanayotoa kwajili ya interviewees skills

    Kwanza kabisa namshukuru mwenyenzi Mungu na then na washukuru Job Junction Tanzania kwa mafunzo ya interviewees skills na huduma zao wanazo toa. Mm kabla sijawatembelea Job Junction Tanzania ofisin kwao,Nilikuwa nafanya applications nyingi sana bila kuitwa kwajili interview .Sikujua kwann...
  4. M

    Recruitment Company [Job Junction] wanapatikana Makumbusho ni matapeli, kuweni makini nao

    Mm ni moja wa watu walio pata kazi kupitia Job Junction Tanzania,Na hayo mabaya wanayo yazungumza kuhusu Job Junction,Mm sijayaona maana Kwanza wako open saana. Na huduma unaipata kwa wakati as agreement,Wengi wanao wazungumzia vibaya wanachuki binafsi tu Ndio maana wengi wao naona wanatumia...
Back
Top Bottom