Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kaongeza pesa ya kujikimu(BOOM) kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kutoka 8,500 kwa siku mpaka kufikia 10,000/= kwa siku, Hii ni tofauti kabisaa na ilivyozoeleka miaka ya huko nyuma tangu 1990+ mikopo hii ilipoanza kutolewa,
Ongezeko la pesa hii limekuwa likifanyika baada...
Kwa ufupi kabisa :- "Alisoma Loleza na Zanaki girls kisha akaenda UDSM kusoma Sheria. Akiwa na miaka 30 tu akapata PhD ya Masuala ya sheria toka Cape Town University. Jakaya akamteua kuwa naibu mwanasheria mkuu wa Serikali, Magufuli akamteua kuwa Mbunge na akawa Naibu Spika. Huyu ni Dkt Tulia...
Afrika na Tanzania kiujumla tumekuwa na mvutano na mitazamo tofauti hasa pale inapotokea mjadala wa kusimamia MAADILI, Kumekuwa na makundi mawili makubwa yanayoibuka pale ambapo rungu la kuadhibiwa kwa uvunjifu wa ZINAZOITWA MILA NA DESTURI ZA KIAFRIKA linapowakuta washukiwa
Kundi la...
Kufuatia matamshi ya Spika wa bunge leo bungeni wakati akiwaapisha wabunge wateule Humphrey Polepole na Bi. Riziki, ambapo Spika amewahakikisha ubunge wabunge 19 wa viti maalum waliovuliwa uanachama wao na Chadema
Kumeibuka kundi la watanzania wakipinga suala hilo.
Binafsi ningependa kuwaambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.